Rais Magufuli: Marufuku vikundi vya watu kugawa barakoa. Ukitaka kuvaa barakoa kashone yako

Hayo ni maagizo aliyoyatoa leo huko Dodoma ndani ya uwanja wa Jamuhuri Dodoma kwenye mkutano wa CWT.

Asema marufuku kwa vikundi vya watu kugawa barakao na ukikutwa ukamatwe ujibu ulikozitoa pamoja na hayo kama vipi shona ya kwako na unaweza chukua sidiria ya upande mmoja na kuifanya barakoa
MBONA ANAPENDA SANA SIDIRIA KWANI YA JANETH HAIMTOSHI?
 
Yani watu aisee hivi mpaka Leo bado hamjamjua raisi Magufuli, always amekua ni mtu wa masikhara sana umesikiliza hotuba? Kuna sehemu kasema "nimechomekea hapo lakini tuendelee kuchukua tahadhari:

Opondo, usipotoshe mkuu - ujumbe ni kuwa hataki barakoa zinazotolewa kama msaada tena kisiasa!! Na kama barakoa ni shida, basi watu wafany hicho unachoita ni kuchomekea.

Ifike sehemu kuwa presidential public address iwe na nguvu za uRais. Utani unadogosha jambo!! Sasa hivi barakoa hazivaliwi kwa wingi - why? Ni kwa sababu alisema kanisani “anafurahi kuona watu wameiondoa corona kwa maombi na barakoa haina maana”. Leo bado anazungumzia hata barakoa za sidiria. Huu mzaha utaendelea hivi na kutakiwa kuulewa tu??!!
 
Hayo ni maagizo aliyoyatoa leo huko Dodoma ndani ya uwanja wa Jamuhuri Dodoma kwenye mkutano wa CWT.

Asema marufuku kwa vikundi vya watu kugawa barakao na ukikutwa ukamatwe ujibu ulikozitoa pamoja na hayo kama vipi shona ya kwako na unaweza chukua sidiria ya upande mmoja na kuifanya barakoa
Elimu ya vijana wa siku hizi inatiliwa sana mashaka kwa sababu wanashindwa kuelewa na kuchambua mambo mengi yanayo zungumzwa, andikwa au yanayoendelea ulimwenguni.
Usikute wengi walio sikiliza hotuba ya Rais, wameambulia barakoa ya sindilia! Ukiwauliza kuchambua hotuba watakutajia barakoa ya sindilia mwanzo hadi mwisho.
Lakini Kutokana na taaluma ya Rais (mwalimu), hivyo anavyovichomekea, ni kuwafanya watu wa aina hiyo kuendelea kusikiliza huenda mwisho wakaambulia chochote katika hotuba yake.
Nafikiri walimu wanamuelewa.
 
Ni kazi sana kumtetea CHIZI, maana huwezi kujua anapanga kuropoka nini.

Aibu sana hii!
 
Yani watu aisee hivi mpaka Leo bado hamjamjua raisi Magufuli, always amekua ni mtu wa masikhara sana umesikiliza hotuba? Kuna sehemu kasema "nimechomekea hapo lakini tuendelee kuchukua tahadhari:
Mna bidii kweli ya kujaribu kuweka manukato. La kuvunda.........
 
Elimu ya vijana wa siku hizi inatiliwa sana mashaka kwa sababu wanashindwa kuelewa na kuchambua mambo mengi yanayo zungumzwa, andikwa au yanayoendelea ulimwenguni.
Usikute wengi walio sikiliza hotuba ya Rais, wameambulia barakoa ya sindilia! Ukiwauliza kuchambua hotuba watakutajia barakoa ya sindilia mwanzo hadi mwisho.
Lakini Kutokana na taaluma ya Rais (mwalimu), hivyo anavyovichomekea, ni kuwafanya watu wa aina hiyo kuendelea kusikiliza huenda mwisho wakaambulia chochote katika hotuba yake.
Nafikiri walimu wanamuelewa.
Pamoja na njaa yako lakini, kuna utetezi mwingine yabidi uwe umevaa angalau barakoa ili usitambulike wa wengine. Amen
 
Yeah.. Mbona inawezekana tu!
Screenshot_20200504-151404.png
 
Hayo ni maagizo aliyoyatoa leo huko Dodoma ndani ya uwanja wa Jamuhuri Dodoma kwenye mkutano wa CWT.

Asema marufuku kwa vikundi vya watu kugawa barakao na ukikutwa ukamatwe ujibu ulikozitoa pamoja na hayo kama vipi shona ya kwako na unaweza chukua sidiria ya upande mmoja na kuifanya barakoa

Nukuu

Ukitaka kuvaa barakoa kashone yako, mbona ni rahisi tu, barakoa mbona imekaa kama titi moja la Mtu mmoja hivi limekatwa upande mmoja, weka huku kama... aaah samahani Mh.Waziri nimesema hapa, nilikuwa nachomekea tu kidogo”

Juzi nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari kuna group linaitwa Magufuli Forum wala silijui, ila sishangai Mtu kujiita Magufuli hata akijiita fisi ni hiyari yake, lakini walikuwa wanagawa barakoa wala hazijulikani zinatoka wapi, tutaumia kwa kukosa maarifa

Njia nyingine ambayo inaweza kutumika ni kuletewa vifaa vya corona vyenye corona, anapokuletea Mtu barakoa hujui ameitoa wapi kataa, mwambie kavae wewe na Mke wako na Watoto wako nyumbani, tutaumizwa
Dish halina channel zote nzi wa kijani walichagua mgonjwa wa mirembe
 
Back
Top Bottom