MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Leo katika shughuli ya ufunguzi wa kituo cha kisasa cha mawasiliano cha polisi katika kukabiliana na uhalifu, Mh. Rais Magufuli amewaagiza polisi kwa msisitizo kuwa mnapowakamata majambazi wenye Silaha muwe mnawakamata haraka huku akisisitiza nadhani mnanielewa.
Mimi binafsi nimefurahishwa sana na agizo hilo maana majambazi yamezidi kiasi kwamba inatishia usalama wa nchi.
Mimi binafsi nimefurahishwa sana na agizo hilo maana majambazi yamezidi kiasi kwamba inatishia usalama wa nchi.