Rais Magufuli: Maalim Seif ni Kiongozi kweli, aliacha 'interest' zake na kutanguliza za Wazanzibari

Rais ajaye aache ubwanyenye kutukuza kwao kuliko mwingine Nyerere hakufanya hivyo wala Mkapa wala JK hata babu pia. Ubwanyenye
 
Mimi nadhani Mwalimu kafuata interest zake yeye sio kwamba kaacha maana katupa na kasahahu yote aliyokuwa anapigania hata wale mashekh wa uamsho aliokuwa anasema atawapiginia watoke siku hizi kimya kwa maana kachagua maslahi yake binafsi ila mimi sishangai sababu hakuna kumwamini mwanasiasa hata siku moja sisi kuongea uongo utasikia mtu anasema hizo ni siasa tu wakati wenzetu wanafanya siasa kwa kuamini wanachofanya hata kama hawako sawa.
 
Kwani mganga njaa anakuwaje? Hana msaada wowote huyo zaidi ya kuangalia maslahi yake.
Mkuu hivi inaingia akilini kwamba Mh. Seif Hammad ni mtu wa kuganga njaa? I don't think so.

Nurudia kusema Mh. Seif atakuwa mtu wa msaada mkubwa katika kuijenga Zanzibar kiuchumi akiwa ndani ya Serikali ya Zanzibzar kuliko akiwa nje ya Serikali - my opinion.
 
Interest za seif zilikuwa zipi, na za wazanzibari zilikuwa zipi? kumbe seif alikuwa na interest zake kinyume na wazanzibari na bado wazanzibari hao hao walimchagua, hii nayo ni comedy kama nyinginezo...
 
Ni nani aliwaambia kuwa Maalum Sefu ni Mpinzani? Kazi yake ni kama ya Mrema, Marando, Membe n k. Mpinzani wa kweli Tanzania ni Tindu Antipas Lissu. Mark my words
 
Ni nani aliwaambia kuwa Maalum Sefu ni Mpinzani? Kazi yake ni kama ya Mrema, Marando, Membe n k. Mpinzani wa kweli Tanzania ni Tindu Antipas Lissu. Mark my words
Uko sahihi kabisa with few others like Mbowe!
 
Pale Shahidi Mkuu wa ICC anapoamua kukaa kikao cha kunywa damu ...

Habari za haraka haraka zinasema Museveni Uganda kafanya copy and paste kama Magufuli ...uchaguzi leo kila kitu wamezima na matokeo watasoma kama walivyofanya kina Mahera

Mahera na timu yake tayari wako huko .....wakitoka ngoma inaenda kuibiwa huko Zimbabwe
Itabidi aina hii ya mbinu iliyobuniwa hapa itafutiwe 'patent', kwani najua nchi nyingi za kiafrika zitakuja kunakili mbinu hii.
Tukifanya hivyo, huenda tukaongeza pato la taifa na kuipatia Tanzania sifa ya pekee kuhusu ugunduzi huu!
 
Ni nani aliwaambia kuwa Maalum Sefu ni Mpinzani? Kazi yake ni kama ya Mrema, Marando, Membe n k. Mpinzani wa kweli Tanzania ni Tindu Antipas Lissu. Mark my words
Sijui kwa nini unamwacha Lowasa na yule mwenzake waziri mkuu wa marehemu Mkapa!
 
Sijui kwa nini unamwacha Lowasa na yule mwenzake waziri mkuu wa marehemu Mkapa!
Nimetaja tu wachache Mkuu. Hao walikuwa briefly tu Waliodumu kwenye upinzani ambao ni system na upinzani wanasonga kifua mbele eti nimepata bingo. Wapinzani ni vichwa vya wendawazimu. Sijui huwa wanawaza kwa kutumia nini. Hivi kweli mtu kama Membe ambaye alishakuwa mpaka boss Usalama unachukua na kumpa nafasi? Sema ni kwa kuwa Zitto na Mwalimu Sefu wote ni wamoja na walikuwa kazini.
 
Mi najiuliza.kulazmisha wakurugenzi watangaze wagombea wa CCM pekee akiwemo nayeye ndo walio shinda ni kutanguliza maslahi ya taifa mbele au ni maslahi yake binafsi?
 
Mi najiuliza.kulazmisha wakurugenzi watangaze wagombea wa CCM pekee akiwemo nayeye ndo walio shinda ni kutanguliza maslahi ya taifa mbele au ni maslahi yake binafsi?
 
Back
Top Bottom