johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,883
- 141,815
Hafla hiyo itafanyika Ikulu , Chamwino jijini Dodoma saa 4 kamili asubuhi.
Tukio litarushwa mubashara TBC, Channel ten na ITV.
Updates;
======
Rais Magufuli ameingia ukumbini na zoezi la kiapo limeanza.
Kiapo kimekamilipa na sasa Naibu waziri wa Utumishi mh Ndejembi anatoa salamu za wizara.
Rais Magufuli ameanza kuhutubia kwa kuwataka viongozi wote kujaza fomu za maadili kwani zimebaki siku saba tu muda wa kisheria kujaza fomu hizo kukamilika.
===
RAIS MAGUFULI: ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU KWA NJIA YA MTANDAO
Katika kumuapisha Kamishna wa Maadili, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, Rais John Magufuli amesema fomu za maadili zisirudishwe kwa njia ya mtandao
Amesema mtu akirudisha fomu kwa njia ya mtandao na akawepo mtu anayejua ‘passwords’ anaweza kuangalia fomu hizo na kujua siri za mtu husika na kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi
Amesema ni muhimu watu kudownload mtandaoni lakini warudishe fomu hizo kwa kuzipeleka tume ya maadili na sio kutumia njia ya mtandao
Amesema njia ya mtandao ni hatari kwa sababu wadukuzi wanaweza kubadili hata viwango vya fedha ambavyo vimeandikwa
Tukio litarushwa mubashara TBC, Channel ten na ITV.
Updates;
======
Rais Magufuli ameingia ukumbini na zoezi la kiapo limeanza.
Kiapo kimekamilipa na sasa Naibu waziri wa Utumishi mh Ndejembi anatoa salamu za wizara.
Rais Magufuli ameanza kuhutubia kwa kuwataka viongozi wote kujaza fomu za maadili kwani zimebaki siku saba tu muda wa kisheria kujaza fomu hizo kukamilika.
===
RAIS MAGUFULI: ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU KWA NJIA YA MTANDAO
Katika kumuapisha Kamishna wa Maadili, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, Rais John Magufuli amesema fomu za maadili zisirudishwe kwa njia ya mtandao
Amesema mtu akirudisha fomu kwa njia ya mtandao na akawepo mtu anayejua ‘passwords’ anaweza kuangalia fomu hizo na kujua siri za mtu husika na kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi
Amesema ni muhimu watu kudownload mtandaoni lakini warudishe fomu hizo kwa kuzipeleka tume ya maadili na sio kutumia njia ya mtandao
Amesema njia ya mtandao ni hatari kwa sababu wadukuzi wanaweza kubadili hata viwango vya fedha ambavyo vimeandikwa