Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,058
Siamini kwamba mtukufu Rais hukumsikia yule mheshimiwa sana aliyeanza kukinadi Chama Cha Mapinduzi wakati mkutano wako hapo Nzega ulikuwa ni wa kiserikali na siyo chama.
Pamoja ukweli kwamba dakika tano baada ya kuanza kuongea watu walianza kusambaratika, bila shaka wengi waliona unafanya marudio ya juzi na jana kuhubiri kuhusu watumishi hewa, mishahara hewa n.k
Lakini kubwa zaidi ni vitisho kwa wanasiasa wa upinzani unaodhani wanakukwamisha, ila ingekuwa vizuri ungemtisha mwakilishi wa Sikonge pamoja na kwamba alikuwa anakutukuza chama chako lakini pale hakustahili.
Hongera mapokezi mazuri ikiwemo ukarabati wa zimamoto wa Ikulu ndogo, hata halmashauri leo wamefanya usafi. Lakini komesha siasa kwenye mikutano yako au waruhusu na wengine wafanye siasa maana wana hamu nayo.
Pamoja ukweli kwamba dakika tano baada ya kuanza kuongea watu walianza kusambaratika, bila shaka wengi waliona unafanya marudio ya juzi na jana kuhubiri kuhusu watumishi hewa, mishahara hewa n.k
Lakini kubwa zaidi ni vitisho kwa wanasiasa wa upinzani unaodhani wanakukwamisha, ila ingekuwa vizuri ungemtisha mwakilishi wa Sikonge pamoja na kwamba alikuwa anakutukuza chama chako lakini pale hakustahili.
Hongera mapokezi mazuri ikiwemo ukarabati wa zimamoto wa Ikulu ndogo, hata halmashauri leo wamefanya usafi. Lakini komesha siasa kwenye mikutano yako au waruhusu na wengine wafanye siasa maana wana hamu nayo.