Rais Magufuli, kwanini haujaenda Japan?

Kule Japan kuna mkutano unaohusu Maendeleo ya Africa. Najua Rais Magufuli ni muumini wa maendeleo.

Japan ni mdau mkubwa wa maendeleo hapa nchini kwetu.

Rais Magufuli najua umemtuma Waziri Mkuu, ila kumbuka tulikuchagua wewe na siyo Waziri Mkuu.

Unajua mkutano kuhudhuriwa na Rais kuna uzito wake?

Pia unakutana na ideas mpya. Sasa wewe umejifungia tu Ikulu huku marais wenzako wa Africa wanajadili maendeleo.

Tena hapa ungetumia uchu ulionao kwa maendeleo kuongea na waziri mkuu wa Japan.
Angalia Rais wa Rwanda juzi alikuwa France kwenye G7. Leo yupo Japan.

Rais wa South Africa pia ilikuwepo kwenye SADC, akawepo kwenye G7 leo yupo Japan.

Kama mpenda maendeleo ulitakiwa usikose huu mkutano.

View attachment 1192348View attachment 1192349View attachment 1192350
Sawa ilitakiwa aende yy na ww km mtanzania una haki ya kuhoji lkn unapaswa kutambua kazi ya uongozi zina miongozo yake, mm na ww hatujui sababu ya yy Kutohudhuria na kumuagiza waziri mkuu kwenda kushiriki.Jamani tuwe wazalendo sio kila jambo ni la kuhoji, hii hojihoji zenu ndio zinazotufikisha hapa nakumbuka Rais mstaafu jk alikuwa anasafiri sana nje mnakumbuka mlikuwa mnamwitaje?
 
Weee Victoire Ingabire nani alikwambia coup detat ni lazima zifanywe na wakuu wa majeshi?
Lazima mkuu wa jeshi na yeye awe haziivi na rais. Otherwise waasi watashindwa tu. Si uliona Burundi coup d'État ilivyofail?
 
Bashite na kabudi wamemshauri atawale miaka 15 kwa mbinu ya kijanja yaani mwakani 2020 wataahirisha uchaguzi kwa kisingizio cha kukosa pesa za kuendesha chaguzi, watakaa mpaka 2023 ndipo watafanya uchaguzi kisha miaka ya awamu ya mwisho pia watafanya hivyo baadae watabadili katiba itakuwa kama Uganda na atakaa ikulu mpaka awe kama Rais wa Cameroon na Zimbabwe
Ha!Usiniambie !
 
Ameogopa kwenda huko maana kampuni ya konoike wanamdai akitua japan wataikamata ndege yake na endapo ataenda na ndege za Abria walipanga kuandamana
Imebidi nicheke tu. Majaliwa kaenda kwa kutumia Emirates?
 
Inauma sana hasa kama tunataka maendeleo. Maendeleo hayaji kwa kujifungia Ikulu. Lazima ukapate new ideas na kubadilishana mawazo na wenzako hasa waliokuzidi ili upate maufundi.
Rais Lazima atambue kuna umuhimu wa kuhudhuria mikutano kama hii ya maendeleo.
Jamaa anahisi anajua kila kitu hapa duniani
 
Kwahiyo walioenda kwenye huo mkutano tayari wameshapata maendeleo?? Kuna Rais alienda kwenye mikutano kama JK?
 
Kwahiyo walioenda kwenye huo mkutano tayari wameshapata maendeleo?? Kuna Rais alienda kwenye mikutano kama JK?
Jk kila mkutano aliokwenda alipata pesa ndiyo maana aliweza kuongeza mishahara ya watumishi wa umma kila mwaka, huyu haendi popote kwa kisingizio cha kubana matumizi lakini mwaka wa nne sasa hakuna nyongeza ya mishahara
 
Nampangia kwa sababu nilimpa kura Yangu. Kikao kama hiki tena Wajapan kabisa anamtuma waziri mkuu? Ona waziri mkuu hata front page haonekani.Rais ana uzito wake jamani.

Yaani wewe ni punguani sana. Tanzania imewakilishwa na waziri mkuu ambaye ndiye mtendaji mkuu wa shughuli za serikali, kuna ubaya gani katika hilo?.
Hivi kwanini mijitu isiyokuwa na shukrani kama wewe kila siku mnatafuta vijisababu vya kijinga na kuanza kumkosoa Raisi?.
Kwanini hamuangalii mazuri anayoyafanya kwa faida ya Taifa letu?. Watu kama nyinyi ukweli nashindwa kuwaelewa kama kweli ni Watanzania.
Mh Raisi anahitaji kupongezwa na kupewa Moyo kwa mambo makubwa anayoyafanya. Angalia muda aliokaa madarakani na mambo aliyoyafanya, anastahili pongezi. Magufuri kanyaga twende asiyependa na kufurahia ahame nchi.
 
Yaani wewe ni punguani sana. Tanzania imewakilishwa na waziri mkuu ambaye ndiye mtendaji mkuu wa shughuli za serikali, kuna ubaya gani katika hilo?.
Hivi kwanini mijitu isiyokuwa na shukrani kama wewe kila siku mnatafuta vijisababu vya kijinga na kuanza kumkosoa Raisi?.
Kwanini hamuangalii mazuri anayoyafanya kwa faida ya Taifa letu?. Watu kama nyinyi ukweli nashindwa kuwaelewa kama kweli ni Watanzania.
Mh Raisi anahitaji kupongezwa na kupewa Moyo kwa mambo makubwa anayoyafanya. Angalia muda aliokaa madarakani na mambo aliyoyafanya, anastahili pongezi. Magufuri kanyaga twende asiyependa na kufurahia ahame nchi.

Hicho kikao si cha size ya Waziri mkuu ambaye hajawahi kuzindua mradi hata mmoja Zanzibar!
Hicho kikao kina hadhi ya maraisi na ndiyo maana unaona kuna maraisi wameenda huko na hawajatuma mawaziri wao wakuu!
 
Kule Japan kuna mkutano unaohusu Maendeleo ya Africa. Najua Rais Magufuli ni muumini wa maendeleo.

Japan ni mdau mkubwa wa maendeleo hapa nchini kwetu.

Rais Magufuli najua umemtuma Waziri Mkuu, ila kumbuka tulikuchagua wewe na siyo Waziri Mkuu.

Unajua mkutano kuhudhuriwa na Rais kuna uzito wake?

Pia unakutana na ideas mpya. Sasa wewe umejifungia tu Ikulu huku marais wenzako wa Africa wanajadili maendeleo.

Tena hapa ungetumia uchu ulionao kwa maendeleo kuongea na waziri mkuu wa Japan.
Angalia Rais wa Rwanda juzi alikuwa France kwenye G7. Leo yupo Japan.

Rais wa South Africa pia ilikuwepo kwenye SADC, akawepo kwenye G7 leo yupo Japan.

Kama mpenda maendeleo ulitakiwa usikose huu mkutano.

View attachment 1192348View attachment 1192349View attachment 1192350
Mtangulizi wake alikuwa akisafiri kwenye hiyo mikutano mkasema ohooo mbona anasafiri sana nk. Sasa Mh huyu hasafiri sana tena bado mnalalamika. Wewe unamuona waziri mkuu wetu hawezi kumwakilisha Rais?
Hata tungetuma Balozi wetu wa huko Japan still mambo yangeenda vyema tu.
Sasa unatutolea mfano wa Rwanda na SA ili iweje? Wakifanya wao na sisi lazima tuige kwao?
 
Mtangulizi wake alikuwa akisafiri kwenye hiyo mikutano mkasema ohooo mbona anasafiri sana nk. Sasa Mh huyu hasafiri sana tena bado mnalalamika. Wewe unamuona waziri mkuu wetu hawezi kumwakilisha Rais?
Hata tungetuma Balozi wetu wa huko Japan still mambo yangeenda vyema tu.
Sasa unatutolea mfano wa Rwanda na SA ili iweje? Wakifanya wao na sisi lazima tuige kwao?

Waziri mkuu alichaguliwa na wananchi kwa kura ngapi?

Watu hawakutaka Kikwete asisafiri bali walitaka asiende kwenye safari zisizo na kichwa wala miguu

Sasa huyu Safari za Maana nazo anadoji, atawezaje kuattract investment kwa kumtuma waziri Mkuu mtu amabaye hata kesho akiamua anamtimua kazi?. KUNA MAMBO NI YA WAKUU WA NCHI NA NDIYO MAANA HUKO KUNA WAKUU WA NCHI ISIPOKUWA TANZANIA TU NDO INAPELEKA MTU WA HADHI YA NNE KIPROTOKALI NCHINI!
 
Kule Japan kuna mkutano unaohusu Maendeleo ya Africa. Najua Rais Magufuli ni muumini wa maendeleo.

Japan ni mdau mkubwa wa maendeleo hapa nchini kwetu.

Rais Magufuli najua umemtuma Waziri Mkuu, ila kumbuka tulikuchagua wewe na siyo Waziri Mkuu.

Unajua mkutano kuhudhuriwa na Rais kuna uzito wake?

Pia unakutana na ideas mpya. Sasa wewe umejifungia tu Ikulu huku marais wenzako wa Africa wanajadili maendeleo.

Tena hapa ungetumia uchu ulionao kwa maendeleo kuongea na waziri mkuu wa Japan.
Angalia Rais wa Rwanda juzi alikuwa France kwenye G7. Leo yupo Japan.

Rais wa South Africa pia ilikuwepo kwenye SADC, akawepo kwenye G7 leo yupo Japan.

Kama mpenda maendeleo ulitakiwa usikose huu mkutano.

View attachment 1192348View attachment 1192349View attachment 1192350
JPM hakuingia madarakani ili avinjari, alichaguliwa kutatua kero za Watanzania, na ndio anazifanya. Hii mipasho ya picha nk haimuhusu, kama ni kutembea nje ya Tanzania ametembea sana tu hana sababu ya kujionyeshaonyesha kila anakoalikwa. Kama angefanya hivyo asingekaa nyumbani kufanya kazi aliyopewa na WATZ kuifanya. Alipokuwa JK mlisema yeye ni Vasco Da Gama. yeye sana sana ataenda Chato tu panamtosha.

JPM anabadili wasomi wa Tanzania jinsi ambavyo wanatakiwa kuiona dunia ilivyo. Wacha hao marais wa nje waje Tanzania kwa sababu wao ndio wana shida kubwa ya kutaka rasilimali zetu.
 
Yaani wewe ni punguani sana. Tanzania imewakilishwa na waziri mkuu ambaye ndiye mtendaji mkuu wa shughuli za serikali, kuna ubaya gani katika hilo?.
Hivi kwanini mijitu isiyokuwa na shukrani kama wewe kila siku mnatafuta vijisababu vya kijinga na kuanza kumkosoa Raisi?.
Kwanini hamuangalii mazuri anayoyafanya kwa faida ya Taifa letu?. Watu kama nyinyi ukweli nashindwa kuwaelewa kama kweli ni Watanzania.
Mh Raisi anahitaji kupongezwa na kupewa Moyo kwa mambo makubwa anayoyafanya. Angalia muda aliokaa madarakani na mambo aliyoyafanya, anastahili pongezi. Magufuri kanyaga twende asiyependa na kufurahia ahame nchi.
Imenibidi nicheke tu. Rais kama mpenda maendeleo alitakiwa yeye ndo aende. Nimeona Kenyata akiwa na private meeting na PM wa Japan. Nionyeshe picha moja ambayo Majaliwa alikuwa na private meeting na PM wa Japan. Rais ana uzito wake jamani. Kule kulikuwa na Marais wengi ina maana wao hawana makamu ama ma waziri wakuu wa kuwawakilisha?
 
Imenibidi nicheke tu. Rais kama mpenda maendeleo alitakiwa yeye ndo aende. Nimeona Kenyata akiwa na private meeting na PM wa Japan. Nionyeshe picha moja ambayo Majaliwa alikuwa na private meeting na PM wa Japan. Rais ana uzito wake jamani. Kule kulikuwa na Marais wengi ina maana wao hawana makamu ama ma waziri wakuu wa kuwawakilisha?

umemuona Kenyata tu ndiyo alikuwa na private meeting na Japanese PM?.
 
Back
Top Bottom