Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

txyz

Member
Apr 3, 2014
89
48
Ni ukweli ulio wazi hata kwa wapinzani kuwa rais kafanya kazi kubwa kwa kipindi kifupi sana. Awali nilimuita Nyerere Junior na kwa kuwa Nyerere alitawala nchi hii kwa miaka 25, nashauri Rais Magufuli aongoze kwa muda kama huo ili nchi yetu isonge mbele kwa haraka ya treni ya umeme.

Kwa mwaka mmoja karudisha nidhamu kwa watumishi wa umma na watendaji wa serikali na mashirika ya umma, kwa mwaka mmoja kanunua ndege tatu na tayari mchakato wa ndege tatu zaidi umekamilika.

Kwa mwaka mmoja katimua watumishi hewa elfu kumi na tisa waliokula bila kutokwa jasho. Kwa mwaka mmoja kajenga barabara za rami zaidi ya kilometa 100 nchi nzima

Kwa mwaka mmoja GDP imepanda kwa 30%.

Kasi hii haijawahi kufanywa na rais yeyote tangu uhuru.Tuna imani naye na tutazidi kumchagua. Viongozi wa chama chetu anza utaratibu wa kubadili muda wa rais kukaa madarakani.Najua wengine hawatafurahia thread hii lakini ukweli ndo huo Na JPM atabaki mioyoni mwa Watanzania wazalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
 
NI KWELI RAIS ANAFANYA KAZI KUBWA
HAPANA TANZANIA NI NCHI YENYE KATIBA ISIYOTAKA RAIS AONGOZE ZAID YA MIAKA KUMI NA HII NDIO DEMOKRASIA
HONGERA SASA TUNA NDEGE ZETU
SAFI SANA KWENYE WATUMISHI HEWA AMEFANIKIWA
SIAMINI KAMA BARABARA YA LAMI ALIYOJENGA NI KM MIA

GDP IMEPANDA KWA ASILIMIA 30??KADANGANYE WENGINE
 
NI KWELI RAIS ANAFANYA KAZI KUBWA
HAPANA TANZANIA NI NCHI YENYE KATIBA ISIYOTAKA RAIS AONGOZE ZAID YA MIAKA KUMI NA HII NDIO DEMOKRASIA
HONGERA SASA TUNA NDEGE ZETU
SAFI SANA KWENYE WATUMISHI HEWA AMEFANIKIWA
SIAMINI KAMA BARABARA YA LAMI ALIYOJENGA NI KM MIA

GDP IMEPANDA KWA ASILIMIA 30??KADANGANYE WENGINE
KAMA KILA MWEZI TULIKUWA TUNAKUSANYA MILIONI MIA TISA LEO TUNAKUSANYA KILA MWEZI TRION 1.3 ONGEZEKO LA BILIONI 400 NI SAWA NA ASILIMIA NGAPI?
 
Ni ukweli ulio wazi hata kwa wapinzani kuwa rais kafanya kazi kubwa kwa kipindi kifupi sana. Awali nilimuita Nyerere Junior na kwa kuwa Nyerere alitawala nchi hii kwa miaka 25, nashauri Rais Magufuli aongoze kwa muda kama huo ili nchi yetu isonge mbele kwa haraka ya treni ya umeme.

Kwa mwaka mmoja karudisha nidhamu kwa watumishi wa umma na watendaji wa serikali na mashirika ya umma, kwa mwaka mmoja kanunua ndege tatu na tayari mchakato wa ndege tatu zaidi umekamilika.

Kwa mwaka mmoja katimua watumishi hewa elfu kumi na tisa waliokula bila kutokwa jasho. Kwa mwaka mmoja kajenga barabara za rami zaidi ya kilometa 100 nchi nzima

Kwa mwaka mmoja GDP imepanda kwa 30%.

Kasi hii haijawahi kufanywa na rais yeyote tangu uhuru.Tuna imani naye na tutazidi kumchagua. Viongozi wa chama chetu anza utaratibu wa kubadili muda wa rais kukaa madarakani.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
tubadilishe katiba, Rais akimaliza mwaka mmoja tunapiga kura tena ili amalizie au atoswe miaka 4 iliyobaki.
 
HUKO NI KUFIKIRI KWA WAPUUZI KAMA WEWE
Akina Mama wananunua vifaa vya kujifungulia Kyela Hospital
Wana amka saa 9 usiku kwenda kutafuta maji
Shule hapa huwezi jua upi mlango upi dirisha
Labda kwenu huko Rais JPM kawarekebishia,Kyela hawezi shinda 2020
 
Oh kumbe sasa mwambie siwezi chagua mtu ameshindwa kuzungumza kimombo kwa dk tano uchumi upo ICU kazi misifa inaonekana utakuwa mfia chama n mpiga deki wa lumumba ndio huku atakumchagua sisi sio kanda ya wajinga km kule
ZIPO CLIPS KIBAO HTA HAJAWA RAIS AKIZUNGUMZA GRAMMATICAL ENGLISH.BY THE WAY WHAT IS THE AIM OF LANGUAGE? RAIS WA CHINA ANAZUNGUMZA LUGHA GANI? NI MJINGA KAMA WEWE ANAYETUKUZA LUGHA ISIYO YAKE.ASILIMIA 70 YA WATAZANIA UKIWAMO WEWE HAWAJUI KIINGEREZA HALAFU YEYE ANG'ANG'ANIE KIMOMBO KWANI NI RAIS WA UINGEREZA?
 
ZIPO CLIPS KIBAO HTA HAJAWA RAIS AKIZUNGUMZA GRAMMATICAL ENGLISH.BY THE WAY WHAT IS THE AIM OF LANGUAGE? RAIS WA CHINA ANAZUNGUMZA LUGHA GANI? NI MJINGA KAMA WEWE ANAYETUKUZA LUGHA ISIYO YAKE.ASILIMIA 70 YA WATAZANIA UKIWAMO WEWE HAWAJUI KIINGEREZA HALAFU YEYE ANG'ANG'ANIE KIMOMBO KWANI NI RAIS WA UINGEREZA?
Sijaunga elimu kama wewe binafsi naongea kimombo safi sijasoma kuyumba kama wewe unaona ulivyo pimbi hivi kile ni kingereza au utumbo ule u can't give what u can't have ndio grammatically hio? Au on behalf of myself?
 
HI
Sijaunga elimu kama wewe binafsi naongea kimombo safi sijasoma kuyumba kama wewe unaona ulivyo pimbi hivi kile ni kingereza au utumbo ule u can't give what u can't have ndio grammatically hio? Au on behalf of myself? Rudini shule nyie mapimbi was kanda ile
LO NENO LENYEWE AU NDIO GRAMMATICALLY IS OPEN YOU A DULL MIND IN LANGUANGE .SEMA AU HIYO NDIO GRAMMAR SIO AU HIYO NDIYO GRAMMATICALLY! NYOO WEWE
 
ZIPO CLIPS KIBAO HTA HAJAWA RAIS AKIZUNGUMZA GRAMMATICAL ENGLISH.BY THE WAY WHAT IS THE AIM OF LANGUAGE? RAIS WA CHINA ANAZUNGUMZA LUGHA GANI? NI MJINGA KAMA WEWE ANAYETUKUZA LUGHA ISIYO YAKE.ASILIMIA 70 YA WATAZANIA UKIWAMO WEWE HAWAJUI KIINGEREZA HALAFU YEYE ANG'ANG'ANIE KIMOMBO KWANI NI RAIS WA UINGEREZA?
Lugha yetu official ni kimombo mzee ndio maana mama yetu wa zenji anakichapa safi, kutema yai kunahitaji ujuzi kanda ile kwanza kisw tu hamjui nenda Katafute Ile kimombo ya Rwanda utacheka hadi ufe puuzi ww kama kimombo kile unakisifia basi nadhani shule huna mzee Domo kubwa km kisima bn
 
KAMA KILA MWEZI TULIKUWA TUNAKUSANYA MILIONI MIA TISA LEO TUNAKUSANYA KILA MWEZI TRION 1.3 ONGEZEKO LA BILIONI 400 NI SAWA NA ASILIMIA NGAPI?
Hv kwa lugha nyepeze nikufundishe kitu, angalia elfu 10 ya leo na linganisha na ya miaka 10 au 15 iliyopita, angalia purchasing power yake ndio utajua kwann pamoja na kukusanya hayo trilions stil hayaonyeshi kufanya kaz kubwa.. Those r just figures, km mtu mwngne anaweza kuwa na umri mkubwa lkn ana behave kitoto
 
KAMA KILA MWEZI TULIKUWA TUNAKUSANYA MILIONI MIA TISA LEO TUNAKUSANYA KILA MWEZI TRION 1.3 ONGEZEKO LA BILIONI 400 NI SAWA NA ASILIMIA NGAPI?
Dah bado tunasafari ndefu kama taifa. Kwahiyo hiyo ndiyo inaitwa GDP? Kwahiyo TRA kila mwezi wanatangaza GDP ya nchi? So kila mwezi una GDP yake? Mbona tunaambiwa uchumi unakuwa kwa 7% kwa mwaka mbona ww hiyo GDP yako inakuwa kwa 30%?
 
Back
Top Bottom