Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

Lugha yetu official ni kimombo mzee ndio maana mama yetu wa zenji anakichapa safi, kutema yai kunahitaji ujuzi kanda ile kwanza kisw tu hamjui nenda Katafute Ile kimombo ya Rwanda utacheka hadi ufe puuzi ww kama kimombo kile unakisifia basi nadhani shule huna mzee Domo kubwa km kisima bn
Sina neno zuri la kukupa zaidi ya pole....official ndiyo kitu gani? Ni biblia siyo kwamba haiwezi kutenguliwa? Aibu aibu kuzarau utu na utamaduni wako....Ujifunze hata kwa wengine duniani...hakuna nchi ambayo imeweza kuendelea bila kuthamini utamaduni wake moja ikiwa lugha yake....Ukiona mtu anashabikia lugha ya watu ni kithibitisho tosha kuwa huyo mtu hajiamini kwa jambo lolote katika maisha yake...
 
Sina neno zuri la kukupa zaidi ya pole....official ndiyo kitu gani? Ni biblia siyo kwamba haiwezi kutenguliwa? Aibu aibu kuzarau utu na utamaduni wako....Ujifunze hata kwa wengine duniani...hakuna nchi ambayo imeweza kuendelea bila kuthamini utamaduni wake moja ikiwa lugha yake....Ukiona mtu anashabikia lugha ya watu ni kithibitisho tosha kuwa huyo mtu hajiamini kwa jambo lolote katika maisha yake...
Hujui maaana ya kitu kuwa officially? Aise utamaduni upi unazungumzia ww? Hakuna anayedharau utamaduni wetu kwenye ukweli tuseme awamu hii kimombo ni shida ndio maana tunaenda kwenye nchi zinaongea kiswahili kwenye kimombo anaenda mama,
 
Ni ukweli ulio wazi hata kwa wapinzani kuwa rais kafanya kazi kubwa kwa kipindi kifupi sana. Awali nilimuita Nyerere Junior na kwa kuwa Nyerere alitawala nchi hii kwa miaka 25, nashauri Rais Magufuli aongoze kwa muda kama huo ili nchi yetu isonge mbele kwa haraka ya treni ya umeme.

Kwa mwaka mmoja karudisha nidhamu kwa watumishi wa umma na watendaji wa serikali na mashirika ya umma, kwa mwaka mmoja kanunua ndege tatu na tayari mchakato wa ndege tatu zaidi umekamilika.

Kwa mwaka mmoja katimua watumishi hewa elfu kumi na tisa waliokula bila kutokwa jasho. Kwa mwaka mmoja kajenga barabara za rami zaidi ya kilometa 100 nchi nzima

Kwa mwaka mmoja GDP imepanda kwa 30%.

Kasi hii haijawahi kufanywa na rais yeyote tangu uhuru.Tuna imani naye na tutazidi kumchagua. Viongozi wa chama chetu anza utaratibu wa kubadili muda wa rais kukaa madarakani.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
WEWE NI MBOVU SANA AU HAUKO TANZANIA NINI?
JAMII FORUM ,PLEASE , HIZI THREADS ZINAZO ANDIKWA TOKA MBELE MUWE MUNA CANCEL KABLA HATUJAZIPATA
 
Akina Mama wananunua vifaa vya kujifungulia Kyela Hospital
Wana amka saa 9 usiku kwenda kutafuta maji
Shule hapa huwezi jua upi mlango upi dirisha
Labda kwenu huko Rais JPM kawarekebishia,Kyela hawezi shinda 2020
Kwani hali itakuwa hiyo hiyo mpk 2020 au hawatamghagua tu hata kama hali ikiboreka?
 
Hakika Tz. huenda ikawa ni nchi inayoongoza kuwa na matahira,vichaa na walemavu wa akili wengi kama mleta Thread,hujui hata ulichokiandika sijui umepokea buku 7/3 ukaenda kunywa piwa kwanza au la kabla ya kupata poorest diet?
Sina mbavu.....kama tutaendelea kuwa na walemavu wa akili hivi....ni hatari kwa vizazi vilivyopo na vijavyo kwani wenye akili wataendelea kuwatafuna walemavu wa akili millenium.
Eti ndege.....bombadier,do u know scale of preference with rapid productivity...eti so hell called GDP kuongezeka 30% umeandika nini sasa wewe mlemavu wa akili???
 
Ili limtu lililoleta huu uzi limetumwa kuja kupima upepo, hivi nalo linajiona bunge la mjanja kutumwa upuuzi MAUJINGA peleka home kwenu ndo mmejazana na MAUJINGA unayoota
 
Kwani hali itakuwa hiyo hiyo mpk 2020 au hawatamghagua tu hata kama hali ikiboreka?
Akiboresha anachaguliwa easy sana
Lkn ukiona mipnago yake sidhani kama kuna maboresho yyt yapo kichwani mwake
Kwa sasa yy anafikiria ndege mpya 4 na Chato International Airport
 
Akiboresha anachaguliwa easy sana
Lkn ukiona mipnago yake sidhani kama kuna maboresho yyt yapo kichwani mwake
Kwa sasa yy anafikiria ndege mpya 4 na Chato International Airport
Acha utabiri subiri bado mapema sana ununuzi wa ndege na ujenzi wa uwanja sio kigezo cha kushindwa kuimarisha huduma zingine za msingi kwa sab hata tulipokuwa hatuna ndege huduma bado zilikuwa tete.
 
Sina neno zuri la kukupa zaidi ya pole....official ndiyo kitu gani? Ni biblia siyo kwamba haiwezi kutenguliwa? Aibu aibu kuzarau utu na utamaduni wako....Ujifunze hata kwa wengine duniani...hakuna nchi ambayo imeweza kuendelea bila kuthamini utamaduni wake moja ikiwa lugha yake....Ukiona mtu anashabikia lugha ya watu ni kithibitisho tosha kuwa huyo mtu hajiamini kwa jambo lolote katika maisha yake...
Kwa hiyo kutojua Kiswahili wala English ndio utamaduni wetu huo? Wewe bure kabisa, sijui ame wa wapi usiejua hata kiswahili.
 
KAMA KILA MWEZI TULIKUWA TUNAKUSANYA MILIONI MIA TISA LEO TUNAKUSANYA KILA MWEZI TRION 1.3 ONGEZEKO LA BILIONI 400 NI SAWA NA ASILIMIA NGAPI?
Trilioni ambazo zimeweza kununua bombardier tu. Au kuna jengine lililofanywa na hizo Trilioni, kama lipo tuambie.
 
Ni ukweli ulio wazi hata kwa wapinzani kuwa rais kafanya kazi kubwa kwa kipindi kifupi sana. Awali nilimuita Nyerere Junior na kwa kuwa Nyerere alitawala nchi hii kwa miaka 25, nashauri Rais Magufuli aongoze kwa muda kama huo ili nchi yetu isonge mbele kwa haraka ya treni ya umeme.

Kwa mwaka mmoja karudisha nidhamu kwa watumishi wa umma na watendaji wa serikali na mashirika ya umma, kwa mwaka mmoja kanunua ndege tatu na tayari mchakato wa ndege tatu zaidi umekamilika.

Kwa mwaka mmoja katimua watumishi hewa elfu kumi na tisa waliokula bila kutokwa jasho. Kwa mwaka mmoja kajenga barabara za rami zaidi ya kilometa 100 nchi nzima

Kwa mwaka mmoja GDP imepanda kwa 30%.

Kasi hii haijawahi kufanywa na rais yeyote tangu uhuru.Tuna imani naye na tutazidi kumchagua. Viongozi wa chama chetu anza utaratibu wa kubadili muda wa rais kukaa madarakani.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Mkuu sidhani kama hiki ulichokiandika umeshirikisha ubungo wako...
 
vitu viwili alivyofanya mkuu wa kaya ndani ya muda mfupi mimi vimenikosha vibaya mno, ni kuanzisha utamaduni mpya uliotukuka wa kutumbua wazembe bila kujali vyeo vyao na umaarufu wao tena kwa kuwatangaza na bila ajizi wala kuwaonea aibu na kubana wapiga dili kunakoliongezea taifa pesa za maendeleo ya jamii na si maendeleo ya genge la walafi wachache na kubana wapiga dili kulikorudisha heshima maofisini , majumbani na mitaani , kwangu mimi hayo mambo mawili ni msingi wa uchumi imara wa ukweli , uchumi uliopo mataifa mengine, nchi za ulaya kwa mfano kazi ni adhabu , unapiga kazi ngumu mno , unalipwa kwa masaa , ukitega imekula kwako , kiufupi unakula kwa jasho na hakuna ten percent na bado unalipa kodi karibu nusu ya mapato yako! na jasho lako unaliona kupitia siti nzuri ya mabasi ya usafiri, full umeme , maji, internet etc. mkuu wetu akisimamia haya kwa miaka yake kumi bila kuchoka, bongo itakuwa habari nyingine duniani nasi tutaomba aandikwe kwenye vitabu vya historia vizazi vijavyo vimjue mtu alieitengeneza bongo ya ukwasi! ila namuomba aombe iwekwe mezani kwake mikataba yote mikubwa yenye maslahi ya taifa kama ya madini , utalii, biashara za nje, umeme , manunuzi makubwa nk kwa maana huku upande mmoja atabana sana ila walafi hawakati tamaa watapitia mikataba mikubwa kuendelea kuiba na kuweka pesa Uswisi na mkuu hataona sana impact ya kubana matumizi, namshauri mikataba inayoweza kufutwa ifutwe na inayoweza kupitiwa upya ipitiwe wakae watatu yeye mwenyewe na Mama na PM tu waichambue mi siamini wengine sorry guys! Mungu ampe afya njema na ujasiri zaidi Rais wetu.

Mkuu, umeandika jambo la maana sana hapa ila kwa faida ya wengine jaribu kurekebisha sentensi zako ili waisome kwa uzuri.
 
Back
Top Bottom