Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

Hujui grammar wewe ,semantically is correct to say you can't give what you can't have .mmezoe you can't give what you don't have.kumbuka you can't have has the meaning of future and you don't have have the meaning of present simple.
On behalf of my self...
 
Hiyo miaka mi5 alitamani iwe miwili,25 atahudumuje?.Labda amalize mi5 apumzike
 
Oh kumbe sasa mwambie siwezi chagua mtu ameshindwa kuzungumza kimombo kwa dk tano uchumi upo ICU kazi misifa inaonekana utakuwa mfia chama n mpiga deki wa lumumba ndio huku atakumchagua sisi sio kanda ya wajinga km kule
Neo-Colonialism itatumaliza watu, kama ubora wa mtu tutaupima kwa kuweza kuongea kingereza, acha mawazo mgando, ukombozi wa fikra unaitajika zaidi kwako
 
Jamani kiingereza cha kufundisha chemistry na physics sio cha kuongea ndio maana sikuhizi anatumia mkalimani. Mii naona bora aongee kishwahili ila nacho asichanganye na kilugha kama anavyofanyaga atamtesa mkalimani.
Nawewe unaongea ujinga! Kiingereza cha kufundisha chem na phy ndio kinakua broken???
 
GDP IS CALCULATED ANNUALLY I KNOW IT IS A SUMMATION OF ALL MONTHS INCOMES
si cha kusema zaidi ya kusema wewe ni kilaza hupaswi kuleta mada hapa kajifunze kwanza ndo ulete mada kama hujui hata GDP inapatikana vipi ni hatari
 
Neo-Colonialism itatumaliza watu, kama ubora wa mtu tutaupima kwa kuweza kuongea kingereza, acha mawazo mgando, ukombozi wa fikra unaitajika zaidi kwako
Acheni kujitoa akili nyie maccm!!! Huyu mtu ana degree tatu je huko chuoni walikua wanatumia kiswahilli??? Kwa lugha anayoongea huoni alikua anachungulia darasan??
 
Ni ukweli ulio wazi hata kwa wapinzani kuwa rais kafanya kazi kubwa kwa kipindi kifupi sana. Awali nilimuita Nyerere Junior na kwa kuwa Nyerere alitawala nchi hii kwa miaka 25, nashauri Rais Magufuli aongoze kwa muda kama huo ili nchi yetu isonge mbele kwa haraka ya treni ya umeme.

Kwa mwaka mmoja karudisha nidhamu kwa watumishi wa umma na watendaji wa serikali na mashirika ya umma, kwa mwaka mmoja kanunua ndege tatu na tayari mchakato wa ndege tatu zaidi umekamilika.

Kwa mwaka mmoja katimua watumishi hewa elfu kumi na tisa waliokula bila kutokwa jasho. Kwa mwaka mmoja kajenga barabara za rami zaidi ya kilometa 100 nchi nzima

Kwa mwaka mmoja GDP imepanda kwa 30%.

Kasi hii haijawahi kufanywa na rais yeyote tangu uhuru.Tuna imani naye na tutazidi kumchagua. Viongozi wa chama chetu anza utaratibu wa kubadili muda wa rais kukaa madarakani.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
mbona mmeanza mapema sana mkuu wakati hata miaka 5 bado achilia mbali miaka 10, kama umetumwa rudisha jibu hilo haliwezekani, kama mnapima upepo au mnatikisa kiberiti kimejaa.
 
KAMA KILA MWEZI TULIKUWA TUNAKUSANYA MILIONI MIA TISA LEO TUNAKUSANYA KILA MWEZI TRION 1.3 ONGEZEKO LA BILIONI 400 NI SAWA NA ASILIMIA NGAPI?
Kwa hiyo Revenue ndio GDP??
Yaani unamaanisha tulikua tunakusanya hata Billioni 1 haifiki?? Akili za Kilumumba Lumumba utazijua tu.


"CCM wanapenda sana namba, tatizo hawajui hesabu"
-By Malisa Godlisten
 
GDP IS CALCULATED ANNUALLY I KNOW IT IS A SUMMATION OF ALL MONTHS INCOMES
Mkuu GDP thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya mipaka ya nchi katika kipindi fulani tuseme kama mwaka hivi bila kujali nani amazalisha. GDP maana yake inachukua mishahara watu walolipwa, tozo za kutumia rasilimali, riba na faida( kwa njia ya kipato) ama ni jumla ya matununizi ya mtu, uwekezaji, matumizi ya serikali na tofauti kati ya pato lililopatikana kutoka uuzaji nje na ununuzi ulofanywa kutoka nje (Expenditure method).

Pili, mapato yanayotangazwa kila mwezi SIO GDP hata kidogo. Hiyo ni makoto yanayofanywa kwenye sehemu ya vipato vinavopatikana kwenye shughuli za kiuchumi. Mfano ukilipwa laki halafu kodi ikawa elfu 4 then hiyo elfu 4 itaingia kwenye mapato lakini laki yote inaingia kwenye GDP. GDP>Mapato ya serikali.
 
Ni ukweli ulio wazi hata kwa wapinzani kuwa rais kafanya kazi kubwa kwa kipindi kifupi sana. Awali nilimuita Nyerere Junior na kwa kuwa Nyerere alitawala nchi hii kwa miaka 25, nashauri Rais Magufuli aongoze kwa muda kama huo ili nchi yetu isonge mbele kwa haraka ya treni ya umeme.

Kwa mwaka mmoja karudisha nidhamu kwa watumishi wa umma na watendaji wa serikali na mashirika ya umma, kwa mwaka mmoja kanunua ndege tatu na tayari mchakato wa ndege tatu zaidi umekamilika.

Kwa mwaka mmoja katimua watumishi hewa elfu kumi na tisa waliokula bila kutokwa jasho. Kwa mwaka mmoja kajenga barabara za rami zaidi ya kilometa 100 nchi nzima

Kwa mwaka mmoja GDP imepanda kwa 30%.

Kasi hii haijawahi kufanywa na rais yeyote tangu uhuru.Tuna imani naye na tutazidi kumchagua. Viongozi wa chama chetu anza utaratibu wa kubadili muda wa rais kukaa madarakani.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Endelea tu atakupa cheo mi naielewa Ccm ila simuelewi Mtakatifu
 
Katiba ya nchi lazima izingatiwe, cha msingi ni kuweka mfumo utaosababisha apatikane mtu mbadala mwenye sifa.
 
Mkuu GDP thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya mipaka ya nchi katika kipindi fulani tuseme kama mwaka hivi bila kujali nani amazalisha. GDP maana yake inachukua mishahara watu walolipwa, tozo za kutumia rasilimali, riba na faida( kwa njia ya kipato) ama ni jumla ya matununizi ya mtu, uwekezaji, matumizi ya serikali na tofauti kati ya pato lililopatikana kutoka uuzaji nje na ununuzi ulofanywa kutoka nje (Expenditure method).

Pili, mapato yanayotangazwa kila mwezi SIO GDP hata kidogo. Hiyo ni makoto yanayofanywa kwenye sehemu ya vipato vinavopatikana kwenye shughuli za kiuchumi. Mfano ukilipwa laki halafu kodi ikawa elfu 4 then hiyo elfu 4 itaingia kwenye mapato lakini laki yote inaingia kwenye GDP. GDP>Mapato ya serikali.
Mfahamishe huyo Mwanalumumba, anapenda namba lakini tatizo ni Kilaza
 
mbona mmeanza mapema sana mkuu wakati hata miaka 5 bado achilia mbali miaka 10, kama umetumwa rudisha jibu hilo haliwezekani, kama mnapima upepo au mnatikisa kiberiti kimejaa.
Mbona ninyi mamvi mlimwokota dk za mwisho,miye kusema mapema kuna kosa gani na ieleweke hayo ni maoni yangu.Sijakulazimisha kuyaamini
 
Siyo maada ni mada jinga wewe.Hupendi potea siyo kuleta mapovu chekechea wewe.

Anayefikiri kwa kutumia matako ni yule aliyemwita Mamvi fisadi alipomwezesha kula akamwita malaika.mlitaka kuuza nchi yetu kwa mabepari .mtakula vya kwenye sufuria tu ninyi mezani hamkanyagi ng'o.Msigwa alisema anayemuunga mkono lowasa akapimwe akili.Nawauliza mlishapimwa akili?
Yaani huyu kwa akili yake anafikili kila anae toa comment kwa ushenzi wake alo uleta hapa ni mpinzani bro wengine hapa sio wapinzani hata huo upande wa pili unaongea hatupo ila tunajaribu kuangalia tu jinsi vijana mnavyo potea na kutumika kama condom jaribuni kubadilika sio kusifia kila kitu hata vile vilivyo wazi ujue unapo jiona unajua kila kitu na kukubaliana na kila kitu hata cha kipuuzi ujue umechoka kufikili....
 
Back
Top Bottom