Kama tetesi zinavyosemekana kuwa Serikali ITASAMBAZA chakula na imeanza KUTATHMINI situation ya njaa nchini hasa maeneo (Mikoa) ambayo HAIAKUPATA ama ina dalili za ukame.
Hili ni jambo la BUSARA sana na si jambo la kuonyesha UNYONGE wa serikali yako.
Jambo hili ni beyond your government ability yaani halikusababishwa na serikali yako bali ni MABADILIKO ya hali ya hewa.
Na serikali KUKUBALI kuwa sehemu zingine hazina chakula cha kutosha KITANYAMAZISHA mjadala huu and put this debate to rest. Na hakuna tena wakukulaumu.
Maana kama serikali umefanya sehemu yako na WANANCHI wafanye sehemu yao ambayo mvua zikinyesha WALIME mazao ya muda mfupi.
I think that is great.
Kudos President Magufuli
Hili ni jambo la BUSARA sana na si jambo la kuonyesha UNYONGE wa serikali yako.
Jambo hili ni beyond your government ability yaani halikusababishwa na serikali yako bali ni MABADILIKO ya hali ya hewa.
Na serikali KUKUBALI kuwa sehemu zingine hazina chakula cha kutosha KITANYAMAZISHA mjadala huu and put this debate to rest. Na hakuna tena wakukulaumu.
Maana kama serikali umefanya sehemu yako na WANANCHI wafanye sehemu yao ambayo mvua zikinyesha WALIME mazao ya muda mfupi.
I think that is great.
Kudos President Magufuli