Rais Magufuli kwa hili la vitambulisho vya wafanyabiashara litakuangusha

msabillah

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
4,764
3,189
Vitambulisho mzee vinanakuangusha, watu wako huku wanawabana wauza mkaa, wachoma mahindi, waziba puncher, wachoma chips, wauza karanga.

Habari ipo hivi, juzijuzi mkuu wa wilaya ya Kaliua alikuja maeneo fulani hivi akasema ameagizwa watu wote wanaojishughulisha na biashara yoyote wachukue vitambulisho kwa shilingi elfu 20,000 na ni lazima, usipochukua usifanye biashara yoyote au ukamatwe.

Mkuu wa wilaya "lazima mchukue vitambulisho kwa kuwa rais anawapenda "
Kama ni kweli rais umeagiza hivyo huku watu wameanza kukushangaa na wameanza kugeuka maadui zako, Maana watu walishangaa kweli nakuanza kuguna.
Huku ni kujichimbia kaburi.
 
Vitambulisho mzee vinanakuangusha, watu wako huku wanawabana wauza mkaa, wachoma mahindi, waziba puncher, wachoma chips, wauza karanga.

Habari ipo hivi, juzijuzi mkuu wa wilaya ya Kaliua alikuja maeneo fulani hivi akasema ameagizwa watu wote wanaojishughulisha na biashara yoyote wachukue vitambulisho kwa shilingi elfu 20,000 na ni lazima, usipochukua usifanye biashara yoyote au ukamatwe.

Mkuu wa wilaya "lazima mchukue vitambulisho kwa kuwa rais anawapenda "
Kama ni kweli rais umeagiza hivyo huku watu wameanza kukushangaa na wameanza kugeuka maadui zako, Maana watu walishangaa kweli nakuanza kuguna.
Huku ni kujichimbia kaburi.
We acha kupinga juhudi za malaika mkuu.
 
Vitambulisho mzee vinanakuangusha, watu wako huku wanawabana wauza mkaa, wachoma mahindi, waziba puncher, wachoma chips, wauza karanga.

Habari ipo hivi, juzijuzi mkuu wa wilaya ya Kaliua alikuja maeneo fulani hivi akasema ameagizwa watu wote wanaojishughulisha na biashara yoyote wachukue vitambulisho kwa shilingi elfu 20,000 na ni lazima, usipochukua usifanye biashara yoyote au ukamatwe.

Mkuu wa wilaya "lazima mchukue vitambulisho kwa kuwa rais anawapenda "
Kama ni kweli rais umeagiza hivyo huku watu wameanza kukushangaa na wameanza kugeuka maadui zako, Maana watu walishangaa kweli nakuanza kuguna.
Huku ni kujichimbia kaburi.
Mwache aanguke kwenye kaburi alilochimbia wengine kwani amechimba mengi tu na yote yanamsubiri yeye.
 
Kuna vitu vinatia ukakasi sana. Alisema kwa wafanyabiashara wote wa kuanzia milioni 4 na kushuka chini wanatakiwa kuwa na vitambulisho, sasa kama unauza mahindi au karanga na hutaki kuwa na kitambulisho, acha usifanye hiyo biashara. Ufike muda tuambiane ukweli na sio kubembelezana upumbavu
 
Mkuu lipa kodi kwa maendeleo ya taifa,mnaposema serikali inatumia vibaya kodi za wananchi ni kodi zipi huwa mnamaanisha if at all hamtaki kulipa kodi? Viva magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitambulisho mzee vinanakuangusha, watu wako huku wanawabana wauza mkaa, wachoma mahindi, waziba puncher, wachoma chips, wauza karanga.

Habari ipo hivi, juzijuzi mkuu wa wilaya ya Kaliua alikuja maeneo fulani hivi akasema ameagizwa watu wote wanaojishughulisha na biashara yoyote wachukue vitambulisho kwa shilingi elfu 20,000 na ni lazima, usipochukua usifanye biashara yoyote au ukamatwe.

Mkuu wa wilaya "lazima mchukue vitambulisho kwa kuwa rais anawapenda "
Kama ni kweli rais umeagiza hivyo huku watu wameanza kukushangaa na wameanza kugeuka maadui zako, Maana watu walishangaa kweli nakuanza kuguna.
Huku ni kujichimbia kaburi.
Naona huko Kaliua ni ngoma droo na Itigi ambako wapiga debe Stendi wameambiwa lazima wawe na vitambulisho vya ujasiriamali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom