msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
- Thread starter
- #21
Sawa ila ukumbuke huyu mwananchi anakamliwa sana, kwasababu kwenye kila bizaa analipia kodi nayeye ndiye huwa consumer wa mwisho kabisa hivyo wafanya biashara huamua tu wauze shilingi ngapi bizaa ili kufidia kodi zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lipa kodi kwa maendeleo ya taifa,mnaposema serikali inatumia vibaya kodi za wananchi ni kodi zipi huwa mnamaanisha if at all hamtaki kulipa kodi? Viva magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app