Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,801
- 11,961
Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli atawaapisha Mawaziri wawili na Mabalozi watatu aliowateua hivi karibuni. Mabalozi hao wataiwakilisha Tanzania katika vituo vya Geneva-Uswisi, Tokyo-Japan na New York-Umoja wa Mataifa. Ni kuanzia saa 10:00 jioni ya leo Januari 27, 2020