BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Kuna gharama kubwa sana katika kuufanya huu upuuzi.
nadhani wakiondoa wale viongozi wa jiji la Dar( anaosema hawana watu wala eneo na hawakuchaguliwa na wananchi) na kubaki na moja ya manispaa ndio iwe jiji,hapa garama za uendeshaji zitakuwa zimepungua siyo kuongezeka...ila jiji la Dar lina sound vizuri kuliko hicho kitu kingine wanachotaka kuanzisha