Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Kwakweli ukiangali mikutano na warsha mbalimbali viongozi wetu wanazokwenda kuhudhuria nchi za nje ni upuuzi mtupu
Kwa mfano huu mkutano wa juzi Urusi na ule wa China wa kuwaalika viongozi wetu hauna afya kwa bara letu zaidi ya ukoloni mamboleo.
Africa itajengwa na waafrika wenyewe kupitia viongozi wenye maono kama Rais Magufuli na Paul Kagame.
AU na wadau mbalimbali kupitia secretarieti zao wanatakiwa kuwa na jopo la watu wenye vision ambao watasaidia bara hili kujikwamua na sio kuomba misaada tu.
Africa inaweza kujisimamia kwa maana sie tuna rasilimali na malighafi za kutosha zaidi na pia tuna soko kubwa la kuuziana wenyewe.
Rai yangu kwa viongozi wa Africa ni kwamba tunatakiwa kujimwabafai na rasilimali zetu ili ziweze kuwaletea wananchi wetu maendeleo.
Rais wetu Magufuli ana jicho la tai kukwepa mialiko ya nje ambao kimsingi ni gharama kwetu na zaidi haina tija zaidi ya kuja kuwa mauti kwetu.
Alex Fredrick
Morogoro.
Kwa mfano huu mkutano wa juzi Urusi na ule wa China wa kuwaalika viongozi wetu hauna afya kwa bara letu zaidi ya ukoloni mamboleo.
Africa itajengwa na waafrika wenyewe kupitia viongozi wenye maono kama Rais Magufuli na Paul Kagame.
AU na wadau mbalimbali kupitia secretarieti zao wanatakiwa kuwa na jopo la watu wenye vision ambao watasaidia bara hili kujikwamua na sio kuomba misaada tu.
Africa inaweza kujisimamia kwa maana sie tuna rasilimali na malighafi za kutosha zaidi na pia tuna soko kubwa la kuuziana wenyewe.
Rai yangu kwa viongozi wa Africa ni kwamba tunatakiwa kujimwabafai na rasilimali zetu ili ziweze kuwaletea wananchi wetu maendeleo.
Rais wetu Magufuli ana jicho la tai kukwepa mialiko ya nje ambao kimsingi ni gharama kwetu na zaidi haina tija zaidi ya kuja kuwa mauti kwetu.
Alex Fredrick
Morogoro.