Rais Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki, barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana

Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake.
Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.
Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Unyapara utakusaidia nini.
 
Mwaka 1963, nikiwa kwenye msafara wa mwalimu, tulitemveoea shamba darasa kwenye kijiji fulani huko kusini, shamba lilikua limenawili sana, basi mwalimu akashika mche mmoja wa mhindi, kuvuta kidogo tu mhindi ukachomoka, kumbe lile lilikua shamba fake,mahindi yaling'olewa sehemu na kuja kupandikizwa hapo, kwa ajili tu ya ziara ya rais.

Peleka ujinga mbali, hakuna mtu aliyekuwa kwenye msafara wa Nyerere mwaka 1963 anayetumia mitandao tena mara kwa mara kama ww.
 
Mwaka 1963, nikiwa kwenye msafara wa mwalimu, tulitemveoea shamba darasa kwenye kijiji fulani huko kusini, shamba lilikua limenawili sana, basi mwalimu akashika mche mmoja wa mhindi, kuvuta kidogo tu mhindi ukachomoka, kumbe lile lilikua shamba fake,mahindi yaling'olewa sehemu na kuja kupandikizwa hapo, kwa ajili tu ya ziara ya rais.
Mwalimu akafanyaje baada ya hapo? Hahaha ila dah

Bongo noma, kuna mahali enzi za JK kisima kilimwagiwa maji ndoo mbili mkandarasi akasema hapa maji yajatoka kila siku.
 
Unasifia ujinga, badala atengeneze mifumo imara ya kusimamia uwajibikaji, kila kitu kinasubiri mpaka yeye aende, halafu nyie wajinga mnabaki kuleta propaganda za kitoto kuwa rais kurudisha uwajibikaji kwenye ofisi za umma. Kwahiyo sehemu ambazo rais hatatembelea ni sawa kuendelea kuwa na matatizo?
Amefanikiwa tu kuwatoa vijana wa vijiweni na kuwapeleka ofisi za Serikali kuendeleza vijiwe wakisubiri maagizo toka juu wakilipwa Mishahara minene na kupewa nyumba kubwa na mashangingi ya kuwaringia wananchi. Waliwajibika tu kubeba mabegi meusi!
 
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.

Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.

Raisi Magufuli shikamoo.

Hizi ndizo athari na matokeo ya kumtumikia mtu (Rais) badala ya wananchi...!!
 
Peleka ujinga mbali, hakuna mtu aliyekuwa kwenye msafara wa Nyerere mwaka 1963 anayetumia mitandao tena mara kwa mara kama ww.
Ndugu unaonekana ni mtu makini kwenye kujenga hoja zenye mantiki...lakini unaonekana umepoteza udhibiti wa jazba kifuani mwako........
 
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.

Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.

Raisi Magufuli shikamoo.

Tabia mbaya kabisa. Badala ya kuhudumia wananchi, wao wanataka wamfurahishe mkubwa
 
Mwaka 1963,nikiwa kwenye msafara wa mwalimu,tulitemveoea shamba darasa kwenye kijiji fulani huko kusini,,shamba lilikua limenawili sana,,basi mwalimu akashika mche mmoja wa mhindi,,kuvuta kidogo tu mhindi ukachomoka,,kumbe lile lilikua shamba fake,mahindi yaling'olewa sehemu na kuja kupandikizwa hapo,kwa ajili tu ya ziara ya rais...
Nini kilotokea mkuu. Kwa tabia ya mwl alikuwa hasemi.
 
Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake.
Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.
Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Wewe ni mke au gf wa DC? Alichokosea Mtaalamu kilikuwa nini? Kujibu au kujieleza
 
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.

Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.

Raisi Magufuli shikamoo.
Ndiyo ujue kuwa ccm ni wasanii kama wasanii wengine
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom