Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,662
- 102,702
Cdm walikuwa magunzi, sasa hivi zimebaki batteries tu, mbona soko halisafishwi, au kusafisha soko kunahitaji miaka miwili?hilo tatizo liko toka kipindi chadena wameshika jimbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cdm walikuwa magunzi, sasa hivi zimebaki batteries tu, mbona soko halisafishwi, au kusafisha soko kunahitaji miaka miwili?hilo tatizo liko toka kipindi chadena wameshika jimbo
Unyapara utakusaidia nini.Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake.
Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.
Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Mwaka 1963, nikiwa kwenye msafara wa mwalimu, tulitemveoea shamba darasa kwenye kijiji fulani huko kusini, shamba lilikua limenawili sana, basi mwalimu akashika mche mmoja wa mhindi, kuvuta kidogo tu mhindi ukachomoka, kumbe lile lilikua shamba fake,mahindi yaling'olewa sehemu na kuja kupandikizwa hapo, kwa ajili tu ya ziara ya rais.
Mwalimu akafanyaje baada ya hapo? Hahaha ila dahMwaka 1963, nikiwa kwenye msafara wa mwalimu, tulitemveoea shamba darasa kwenye kijiji fulani huko kusini, shamba lilikua limenawili sana, basi mwalimu akashika mche mmoja wa mhindi, kuvuta kidogo tu mhindi ukachomoka, kumbe lile lilikua shamba fake,mahindi yaling'olewa sehemu na kuja kupandikizwa hapo, kwa ajili tu ya ziara ya rais.
Amefanikiwa tu kuwatoa vijana wa vijiweni na kuwapeleka ofisi za Serikali kuendeleza vijiwe wakisubiri maagizo toka juu wakilipwa Mishahara minene na kupewa nyumba kubwa na mashangingi ya kuwaringia wananchi. Waliwajibika tu kubeba mabegi meusi!Unasifia ujinga, badala atengeneze mifumo imara ya kusimamia uwajibikaji, kila kitu kinasubiri mpaka yeye aende, halafu nyie wajinga mnabaki kuleta propaganda za kitoto kuwa rais kurudisha uwajibikaji kwenye ofisi za umma. Kwahiyo sehemu ambazo rais hatatembelea ni sawa kuendelea kuwa na matatizo?
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi Magufuli shikamoo.
Tegeta looo sijawahi ona soko chafu ka la tegeta hivi lile dambo sokoni hampati kipindupindu
Ndugu unaonekana ni mtu makini kwenye kujenga hoja zenye mantiki...lakini unaonekana umepoteza udhibiti wa jazba kifuani mwako........Peleka ujinga mbali, hakuna mtu aliyekuwa kwenye msafara wa Nyerere mwaka 1963 anayetumia mitandao tena mara kwa mara kama ww.
Hahahaaaa....... Tegeta Nyuki!!!Tegeta looo sijawahi ona soko chafu ka la tegeta hivi lile dambo sokoni hampati kipindupindu
Ndugu unaonekana ni mtu makini kwenye kujenga hoja zenye mantiki...lakini unaonekana umepoteza udhibiti wa jazba kifuani mwako........
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi Magufuli shikamoo.
Nini kilotokea mkuu. Kwa tabia ya mwl alikuwa hasemi.Mwaka 1963,nikiwa kwenye msafara wa mwalimu,tulitemveoea shamba darasa kwenye kijiji fulani huko kusini,,shamba lilikua limenawili sana,,basi mwalimu akashika mche mmoja wa mhindi,,kuvuta kidogo tu mhindi ukachomoka,,kumbe lile lilikua shamba fake,mahindi yaling'olewa sehemu na kuja kupandikizwa hapo,kwa ajili tu ya ziara ya rais...
Wewe ni mke au gf wa DC? Alichokosea Mtaalamu kilikuwa nini? Kujibu au kujielezaNatamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake.
Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.
Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Ndiyo ujue kuwa ccm ni wasanii kama wasanii wengineTetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi Magufuli shikamoo.
Hapo ndiyo unavyo jionyesha kuwa upo kwenye kundi moja na kina cheichei shangaziTegeta looo sijawahi ona soko chafu ka la tegeta hivi lile dambo sokoni hampati kipindupindu