Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Rais Dkt. John Pombe Magufuli, leo anatarajiwa kupokea Gawio la Serikali la mwaka 2017/2018 kutoka kwa Wakala, Kampuni, Taasisi na Mashirika ya Umma 47, ambayo Serikali inamiliki hisa. Tukio hilo litafanyikia katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini Dar.
Tukio hilo litafanyika baada ya kukamilika kwa Zoezi la kutiliana saini Mkataba wa Ujenzi wa Selander Bridge.
Updates:
Tukio hilo litafanyika baada ya kukamilika kwa Zoezi la kutiliana saini Mkataba wa Ujenzi wa Selander Bridge.
Updates: