GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Hivi na Marais wengine nao kuanzia Hayati Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete walikuwa wakisafiri hivi na Wakurugenzi wa TISS akina Kitine, Mahiga, Kombe, Mwang'onda na Othman popote pale walipokuwa wakienda / wakisafiri iwe ni ndani kama si nje ya Tanzania au huu ni Utaratibu mpya tu uliobuniwa pekee katika Awamu hii ambayo imeonekana kuwa inataka Kuonyesha tofauti Kubwa na Awamu zote zilizopita?
Tujadili.
Tujadili.