Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,436
- 4,429
Leo saa 5:30 asubuhi waandishi wa habari wameitwa Ikulu kuongea na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli.
TBC1 Wataonesha live Mkutano huo wa Rais na Waandishi wa Habari, Moja kwa moja kutoka Ikulu Dar es Salaam.
Ametangaza Baraza la Mawaziri. Fuatilia hii Thread=>Yanayojiri Ikulu kutangazwa kwa baraza la mawaziri Novemba 10, 2015
TBC1 Wataonesha live Mkutano huo wa Rais na Waandishi wa Habari, Moja kwa moja kutoka Ikulu Dar es Salaam.
Ametangaza Baraza la Mawaziri. Fuatilia hii Thread=>Yanayojiri Ikulu kutangazwa kwa baraza la mawaziri Novemba 10, 2015