Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,267
- 4,973
Kwani wale 19 wana sifa za kuteuliwa kuwa mawaziri kadri ya katiba ya tanganyikaRais Magufuli amesema kuna mbunge vyeti vyake ni " hewa" na historia yake ya elimu imejaa ujanja ujanja.
Rais Magufuli amesema huyo mbunge asingeweza kupata teuzi ya uwaziri lakini kwa bungeni atawafaa kwa sababu sifa kuu ya mbunge ni kujua kusoma na kuandika.
Bado najiuliza ni nani huyo? Au ni katika wale 19?
Maendeleo hayana vyama!