beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema siku hizi kumejitokeza tabia ya baadhi ya Vijana kuwa na viburi Shuleni, akisema anatamani viboko viwepo kweli.
Ameongea hayo wakati akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bukoba na kueleza kuwa, hiyo ndio njia pekee ya kumsaidia mtoto ambaye hata hajafikia Adolescence (Balehe).
Vilevile, amewataka Walimu kutimiza malengo yao huku wakizingatia maadili ya kazi hiyo na kusema Mwalimu ni Mzazi.
Ameongea hayo wakati akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bukoba na kueleza kuwa, hiyo ndio njia pekee ya kumsaidia mtoto ambaye hata hajafikia Adolescence (Balehe).
Vilevile, amewataka Walimu kutimiza malengo yao huku wakizingatia maadili ya kazi hiyo na kusema Mwalimu ni Mzazi.