mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Suala la viboko limefanyiwa tafiti nyingi labda tuseme tafiti hazina maana.Hivi anafahamu Kauli zake tata zina madhara kiasi gani?
Halafu kwanini huwa anashabikia sana viboko? seems like a very desperate sadist!
Hakuna anayependa wanafunzi wawe na viburi, lakini kuna namna bora ya kushughulika nao! They are not animals.
Kwa mwaka tu kuna cases zaidi ya hamsini za vifo vya wanafunzi vinavyotokana na viboko! Yeye haoni hilo kuwa ni tatizo!?
What the HELL is this sadistic bulldozer up to!?
Anataka kuamrisha wanafunzi wauwawe? maana hashindwi kitu huyu mtanganyika shupavu!