Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,910
- 6,822
Ungemuelimisha yeye na wengine kwa kuwapa fasihi sahihi ya yale aliyozungumza Mheshimiwa Rais.Mkuu umesoma science nini Tanzania
Umeshindwa kumuelewa Rais
Soma Fasihi,Rais aliongea vitu tofauti na fikra zako
Umechemsha mkuu,Ulisikiliza hotuba au umesimuliwa
Amandla....