ππππππππBora Kenyata anawapongeza Vijana wake kupitia Twiiter.
Kwa mtindo wake wa kuongea asije kuwatisha Vijana na kuwataka wawe na Ilani ya Chama
ππππππππBora Kenyata anawapongeza Vijana wake kupitia Twiiter.
Kwa mtindo wake wa kuongea asije kuwatisha Vijana na kuwataka wawe na Ilani ya Chama
Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Oktoba, 2018 atakutana na wachezaji wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na baadaye kula nao chakula cha mchana Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Mheshimiwa Rais amezidi kutengeneza hadhi ya Ikulu kama hapo awali tofauti na Mtangulizi wake ambapo hata wahuni walikua wakiingia Ikulu. Mfano mzuri Wabunge wa Arusha na Mbeya Mjini.
Huyo ambaye hakuwa mkosi aliifikisha Taifa Stars kwenye mashindano yapi?Kwa hiyo hao wabunge ni wahuni?????
Anyway kama timu ya taifa inaenda kuonana na jiwe walahi watafungwa Game zote mbili AFCON watasikia kwa Uganda tu Jiwe ni mkosi
Ikulu ni mahali patakatifu..si pango la waongo, wanafki na watu wa matusi.Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Oktoba, 2018 atakutana na wachezaji wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na baadaye kula nao chakula cha mchana Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Mheshimiwa Rais amezidi kutengeneza hadhi ya Ikulu kama hapo awali tofauti na Mtangulizi wake ambapo hata wahuni walikua wakiingia Ikulu. Mfano mzuri Wabunge wa Arusha na Mbeya Mjini.
Me 2 walahiHahaha Nimependa Ulivyo Malizia
Swafiiii sana mh rais walahi
Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Oktoba, 2018 atakutana na wachezaji wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na baadaye kula nao chakula cha mchana Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Mheshimiwa Rais amezidi kutengeneza hadhi ya Ikulu kama hapo awali tofauti na Mtangulizi wake ambapo hata wahuni walikua wakiingia Ikulu. Mfano mzuri Wabunge wa Arusha na Mbeya Mjini.
Mi nilidhani unasema huidhamini tena au huichangii..Sishangilii tena taifa stars
Kila kitu kwako ni chuki za kisiasa tu, vingine bora hata usiwe una commenti, hivi unajua hata hamasa ya mpira tofauti na siasa za mitandaoni hizi?Anatafuta namna ya kupoza mashabiki wa soka na sitashangaa kusikia katao mamilino kwa kila mchezaji.
Ndio maana jana nilileta mada nikasema viongozi wapimwe kwa kutazama dhamira zilizo nyuma ya matendo au maamuzi yao na si kwa kutazama matendo au maamuzi wanayofanya tu.
Ikulu ya sasa iko chini ya mhuni na mtekaji mkuu bashiteMhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Oktoba, 2018 atakutana na wachezaji wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na baadaye kula nao chakula cha mchana Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Mheshimiwa Rais amezidi kutengeneza hadhi ya Ikulu kama hapo awali tofauti na Mtangulizi wake ambapo hata wahuni walikua wakiingia Ikulu. Mfano mzuri Wabunge wa Arusha na Mbeya Mjini.