mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,071
- 6,233
Aisee kamrudishe sasa na 2025 aendelee kuongoza na hata mileleAkijiuzuru tutamfuata na kumbeba kwa lazima kumrudisha kwenye kiti.
Na hata 2025 ikifika tutajaribu kumconsult Mbowe kwa gharama yeyote atakayotutajia, atupe mbinu ya kuendelea kukalia kiti miaka na miaka.
Mbona CHADEMA wanaweza CCM mnashindwa wapi?
Mbona hata CHADEMA tulishawahi kuwa na kifungu cha ukomo wa uongozi, lakini zilichezwa gymnastics - kikafutwa.
CCM si vibaya wakijifunza kutoka CHADEMA.
Huyu jamaa tumg'ang'anie aendelee kuirudisha nchi kwenye mstari.