imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,676
- 71,034
Viherehere wote chalii wameaibika sura zimewafubaa kujipendekeza kumekwisha
Watu walikuwa wanajirusha fahamu lakini wameshushuliwa sijui wataingiza wapi sura zao
Mungu ni mwema Mungu ni mwema.
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa chama hicho ni kiwanda kinachopika viongozi bora, hivyo hana mpango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani kinyume na Katiba ya chama hicho na Katiba ya nchi.
Mhe. Rais Magufuli amesema majukumu ya Urais ni mazito na kwamba hata yeye hakutarajia kama angekutana na uzito wa majukumu anaokutana nao hivi sasa.
Ametoa kauli hiyo alikuwa akizungumza katika vikao vya Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya CCM vilivyofanyika Jijini Mwanza.
"Kukaa hapa kwenye nafasi hii nimechoka kweli,kazi hii ni mateso, unaweza kujiuliza haya ni maisha gani, maisha haya ni magumu kazi hii ni ngumu,mimi sikujua kama ni mateso,lakini nimeipata,halafu kila msalaba,kila tatizo lazima lije kwako".Rais Magufuli.
Mwaga manyanga mzee kweni umeandikiwa na Daktari
Watu walikuwa wanajirusha fahamu lakini wameshushuliwa sijui wataingiza wapi sura zao
Mungu ni mwema Mungu ni mwema.
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa chama hicho ni kiwanda kinachopika viongozi bora, hivyo hana mpango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani kinyume na Katiba ya chama hicho na Katiba ya nchi.
Mhe. Rais Magufuli amesema majukumu ya Urais ni mazito na kwamba hata yeye hakutarajia kama angekutana na uzito wa majukumu anaokutana nao hivi sasa.
Ametoa kauli hiyo alikuwa akizungumza katika vikao vya Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya CCM vilivyofanyika Jijini Mwanza.
"Kukaa hapa kwenye nafasi hii nimechoka kweli,kazi hii ni mateso, unaweza kujiuliza haya ni maisha gani, maisha haya ni magumu kazi hii ni ngumu,mimi sikujua kama ni mateso,lakini nimeipata,halafu kila msalaba,kila tatizo lazima lije kwako".Rais Magufuli.
Mwaga manyanga mzee kweni umeandikiwa na Daktari