Rais Magufuli kuhutubia kutoka uwanja wa Kaitaba Bukoba

Status
Not open for further replies.

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,583
11,659
Rais Magufuli kuhutubia Taifa leo saa 5:00 asubuhi moja kwa moja kutoka uwanja wa Kaitaba Bukoba, ungana nasi AzamTWO kuanzia muda huo.

C1JcJ4TXgAAfhOp.jpg
 
Wana Bukoba
Toka Kitengaduro hadi Rwamishenye
Toka Izimbya hadi Igundanyondo
Jipangeni barabarani MZOEMEENI kwa nguvu Rais Magufuli
Ipuuzeni hotuba yake waende wana CCM tu
Hakuwa na utu wkt wa shida zenu na kaja huko sasa kisiasa tu ili arekebishe mambo kwa 2020
Muonyeshi kuwa yy ana dola nyie mna kura 2020
Nasisitiza tena wana Bukoba MPUUZENI msiende popote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom