figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Rais Magufuli kufanya ziara ya kutembelea Pwani kesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari!Rais Magufuli kufanya ziara ya kutembelea Pwani kesho
"viwanda vikubwa" , unapimaje ukubwa? Vyerahani 4 ni kiwanda! by MwijageRais Magufuli kufanya ziara ya kutembelea Pwani kesho
View attachment 527063
Mwenyezi mungu yupoRais ajitahid kuwa na walinz wengi ila asingekwenda hatari huko kuna ma sniper .
Kweli tutafika tugood news....taratibu tutafika tu
Mikoa mingi tu haendi huenda anabana matumizi.Mbona mikoa ya kusini haendi?
Haha ningemkata mshahara wote halafu nikamwambia kuna kiwanda chako umeandaliwa, namkabidhi vyerehani vinne"viwanda vikubwa" , unapimaje ukubwa? Vyerahani 4 ni kiwanda! by Mwijage
Hakuna Kick kuleMbona mikoa ya kusini haendi?
Sio Pwani ya Mkuranga/Kibiti/Ikwiriri mkuu, Ni hii Pwani ya Bagamoyo RuvuAsiende huko mpaka kutulie