Magufuli aliwatumbua kwa mbwembwe wateule wake wote waliotia nia sehemu mbalimbali, maarufu zaidi akiwa kijana wake mpendwa Makonda.
Cha ajabu mkurugenzi wa jiji la Dodoma Bwana Godwin Kunambi alitia nia huko Morogoro, jimbo la Mlimba na akatoka ngoma droo na binti wa mama Rwakatare aitwaye Rose Hellen Rwakatare, lakini Kunambi karudi ofisini jijini anaendelea na kazi kana kwamba hakukiuka maagizo ya Magufuli.
Magufuli kwanini katumbua wote isipokuwa Kunambi? Ndio mtoto pendwa mteule?
Wajuzi tujuzeni.
Cha ajabu mkurugenzi wa jiji la Dodoma Bwana Godwin Kunambi alitia nia huko Morogoro, jimbo la Mlimba na akatoka ngoma droo na binti wa mama Rwakatare aitwaye Rose Hellen Rwakatare, lakini Kunambi karudi ofisini jijini anaendelea na kazi kana kwamba hakukiuka maagizo ya Magufuli.
Magufuli kwanini katumbua wote isipokuwa Kunambi? Ndio mtoto pendwa mteule?
Wajuzi tujuzeni.