Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,607
- 40,749
Hakuwa na mbwembwe hivyo mkuu hakuona sababu ya kumwondoa
HahahahahahBaruan Muhuza naye alitia nia ila namwona mzigoni Azam km kawaida.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Azam ya Bilionea toka UngujaBaruan Muhuza naye alitia nia ila namwona mzigoni Azam km kawaida.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Pia taratibu za uandishi wa habari haziruhusu hayo, alitakiwa kustaafu kabisa km alivyofanya Salum Mwalimu, Juma Nkamia n.kKwani azam tv ni kampuni au shirika la umma? Mtoa post anamaanisha watumishi wa serikali waliotia nia ya kugombea ubunge.
NA angekuwa kashaanza jambo jingine tayari, haishiwagi!Angekuwepo Bashite sasa hivi angekua anamalizia kampeni yake ya kuwapima tezi dume wanaume wa dar kwa ufanisi kabisa.
Mpaka Atakapo Oa Huyo
Sasa Hivi Achape Kazi
Amekwambia nani???.Alikwenda kugombea ubunge japo kwa kujificha kama wengine. Amerudi bado yupo anachapa kazi ofisini. Hivi huyu ni nani asiachie ofisi!? Huyo aliemteua haoni au sheria ile ni selective!? Kunambi ona aibu.
Wahuni Wengi Sana Kwenye Governmentna alisema mwaka huu anauagaa ukaperaaa na kurasimisha zoezi la kula tunda kimasihara
Tayariii hukooNaona umesikika
Magufuli aliwatumbua kwa mbwembwe wateule wake wote waliotia nia sehemu mbalimbali, maarufu zaidi akiwa kijana wake mpendwa Makonda.
Cha ajabu mkurugenzi wa jiji la Dodoma Bwana Godwin Kunambi alitia nia huko Morogoro, jimbo la Mlimba na akatoka ngoma droo na binti wa mama Rwakatare aitwaye Rose Hellen Rwakatare, lakini kunambi karudi ofisini jijini anaendelea na kazi kana kwamba hakukiuka maagizo ya Magufuli.
Magufuli kwanini katumbua wote isipokuwa Kunambi? Ndio mtoto pendwa mteule?
Wajuzi tujuzeni.
Kwiiiisha habari yakeMagufuli aliwatumbua kwa mbwembwe wateule wake wote waliotia nia sehemu mbalimbali, maarufu zaidi akiwa kijana wake mpendwa Makonda.
Cha ajabu mkurugenzi wa jiji la Dodoma Bwana Godwin Kunambi alitia nia huko Morogoro, jimbo la Mlimba na akatoka ngoma droo na binti wa mama Rwakatare aitwaye Rose Hellen Rwakatare, lakini kunambi karudi ofisini jijini anaendelea na kazi kana kwamba hakukiuka maagizo ya Magufuli.
Magufuli kwanini katumbua wote isipokuwa Kunambi? Ndio mtoto pendwa mteule?
Wajuzi tujuzeni.