Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,115
- 35,121
Kafanyeje tena?Kwiiiisha habari yake
Kafanyeje tena?Kwiiiisha habari yake
Kweli muda ndio kila kitu.Shida ya Chadomo hata uelewa wa utendaji wa mifumo ya serikali ni zero.mradi tu umeandika
Hakuwa na mbwembwe hivyo mkuu hakuona sababu ya kumwondoa
Inawezekana jina lake linarudi kesho kama mgombea jimbo rasmi.Kwiiiisha habari yake
Sidhani kama katenguliwa sababu ya hii thread maana kama kuna nililojifunza mhula huu, ni kuwa Magu hapangiwi cha kufanya.Hakika JF inasomwa sana!!
Hawezi kuja. Keshatumbuliwa.Ngoja tumsubiri Kunambi aje
Tayari amekumbukwa.Itakuwa alisahaulika tu, Ila na wewe acha umbeya wa kuchongea wengine
Mleta mada Ni mtu mchuroTayari amekumbukwa.
The baseline is this:Ukishateuliwa mahali,iwe ofisi ya kisiasa au ajira ya serikali tulia hapo, chapa kazi umsaidie mkuu wako katika kazi aliyokupa.Kuonyesha tamaa kwa kuwania ajira yeyote ngingine ambayo mkuu wako hajakutuma kufanya ni kumdharau,kuto-onye heshimasha na kutokuaminika.Serikali au Chama haviwezi kukaa na watu wenye tamaa,wenye dharau,wasio na heshima kwa wakuu wao wa kazi na wasioaminika.Aisee nadhani wewe Ndugu yangu hujui chochote kuhusu masuala ya utawala wa nchi..kuna political appointments na teuzi nyingine..wale wengine wanaomba ruhusa tu au pengine likizo bila mshahara..wale wa kisiasa ni tofauti..
Halooo ulikuwa mjumbe niniInawezekana jina lake linarudi kesho kama mgombea jimbo rasmi.
😂😂😂😂Halooo ulikuwa mjumbe nini