GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,502
Huwa najitahidi kufuatilia ziara mbalimbali za Rais magufuli hasa zile za uulizaji wa maswali ya papo kwa papo kwa viongozi wa chini wanaohusika na miradi mbalimbali, nikabaini, watendaji wengi wa serikalini ni watu dhaifu, wenye elimu ndogo, magoigoi na wababaishaji.
Management by walking (MBWA) anayoifanya Rais magufuli inatuthibitishia ni kwa kiasi gani bila Rais Magufuli hakuna kinachoweza kwenda.
Mainjinia hawajui wanachokifanya, wakurugenzi wapo wapo tu hawajui hata takwimu za miradi, hawajui makadirio ya kazi, hawajui nani anapaswa kukamilisha kazi, hawajui kiasi cha fedha kilichotolewa....hawajui kitu. Wapo tu!
Maswali ya papo kwa papo anayowauliza Rais Magufuli yanaonesha hawana clue yoyote juu ya wanachokifanya.
Rais Magufuli ameonesha ni namna gani Tanzania inahitaji mapinduzi makubwa ya watendaji.
Injinia gani huwezi kujieleza angalau sentensi mbili uueleze umma mpangilio wa mradi wote?
Ndio kusema kwamba, bila Rais Magufuli hamuwezi kufanya lolote?
Si ajabu miradi mingi inafanywa na wachina maana serikali imebaini hawa watanganyika ni lazy tu na incompetent.
Management by walking (MBWA) anayoifanya Rais magufuli inatuthibitishia ni kwa kiasi gani bila Rais Magufuli hakuna kinachoweza kwenda.
Mainjinia hawajui wanachokifanya, wakurugenzi wapo wapo tu hawajui hata takwimu za miradi, hawajui makadirio ya kazi, hawajui nani anapaswa kukamilisha kazi, hawajui kiasi cha fedha kilichotolewa....hawajui kitu. Wapo tu!
Maswali ya papo kwa papo anayowauliza Rais Magufuli yanaonesha hawana clue yoyote juu ya wanachokifanya.
Rais Magufuli ameonesha ni namna gani Tanzania inahitaji mapinduzi makubwa ya watendaji.
Injinia gani huwezi kujieleza angalau sentensi mbili uueleze umma mpangilio wa mradi wote?
Ndio kusema kwamba, bila Rais Magufuli hamuwezi kufanya lolote?
Si ajabu miradi mingi inafanywa na wachina maana serikali imebaini hawa watanganyika ni lazy tu na incompetent.