Rais Magufuli: Kama vyuma vimekaza, weka grisi vilainike

Lets be realistic .. raisi MAGUFULI ni kiongozi mbaya, mwenye frastation na alikuwa hajajiandaa kuwa raisi... mshamba na anayehisi ana maono. Huyu ni mfano wa viongozi wabaya kuwahi kutokea. Anamini kwenye maendleo vitu co watu
Mkuu baada ya kumaliza muhula wake uje usome comment yako.Kiongoz bora duniani huanza kuangaika na kutengeneza miundombinu itakayowawezesha watu kujiendesha.Mwache adili na maendeleo ya vitu,hata tusipofaidika sisi bas wajukuu zetu watafaidika.
 
Huyu jamaa ni kavu kabisa....
Kuna binti kamshahara kenyewe ka ualimu kadogo, wazazi waliuza mashamba asome lakini mwisho wa siku JPM na bodi yake ya mikopo wana mtapeli na kumuibia kwa kumkata deni HEWA la MKOPO.
Sasa wakilalamika dhulma hii unatoa majibu ya ovyo ovyo, huyu jamaa sijui yukoje yani!
He is full of shit...
Kama ni mkopo fake JPM anahusikaje? Si aende kutoa malalamiko yake Bodi ya Mikopo kama kweli hakuchukua mkopo???!!! Na wewe si umsaidie kutatua tatizo hiyo kuliko kuja kulalamika humu JF???!!
 
Mh. Dr. John Pombe Magufuli ktk hafla yake na waalimu jana tar.14/12/2017

Aliahidi kuwa yuko pamoja na walimu na anawapenda sana.

View attachment 652185

Pia aliwahakikishia hatawatupa mkono bali waungane pamoja kuijenga nchi yetu na kulinda raslimali zilizopo,

Atajali masrahi ya walimu na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili.

Pia alisema wale wote wanaozungumza vyuma vimekaza waweke gris vilainike,

Maana wengi wao wanaolalamika ni wale walikuwa wakisaini mikataba hewa, waliokuwa wanachukua mishahara hewa na wale wa vyeti feki,

Watu hao vyuma havitakaza tu bali vitavunjika kabisa.
Kwa mwananchi / mtumishi mwema, ujumbe huu ni mwema!
 
AAche maneno ya kejali na uhuni@ Hali ni mbaya kwa wote wakati yeye amekalia kukwapua hazina ili ahonge upinzani@@@
Wewe ni bwana madili...!! Mkuu jirekebishe tu chapa kazi utazoea tu pole sana mkuu!!
 
92f1ef5677f0b70b398611d71eda149e.jpg
 
Na wale wakulima wa Tandahimba, Namanyere, Kasozibakaya, Puma, Chala, Kaliua, Luiche na kwingineko nao mazao yao kukosa soko ni hewa watie grisi.
Polepole tutafika
 
I see kuna tatizo sana...ni kama anapambana na wananchi au grupu fulani la watu....tatizo ni kwamba the population iliyopo kwenye second side of the equilbrium ita-react oppositely kulainisha hivyo vyuma vilivyokazwa na first side of the equilbrium...

Kilichopo ni kua baada ya yeye kukaza,reaction kutoka upande wa pili uliokazwa utaadhiri nini?Sio unakaza halafu unachekelea kama juha tu as if kuna mashindano ya kukaza vyuma vya wananchi.....

Haya mambo ni maarifa more than anything....eti weka Grease kulainisha vyuma alivyokaza yeye,very myopic na simplistic.....reaction kutoka upande wa pili against kukaza kwake ina athari na powerful kiasi gani to completely anniliate his end result intentions kiuchumi?
 
Lets be realistic .. raisi MAGUFULI ni kiongozi mbaya, mwenye frastation na alikuwa hajajiandaa kuwa raisi... mshamba na anayehisi ana maono. Huyu ni mfano wa viongozi wabaya kuwahi kutokea. Anamini kwenye maendleo vitu co watu
thumb up man, nikiongeza maneno mengine hapa ntaokotwa coco beach naelea. U nailed it broh.
 
Mkuu hebu tuseme ukweli kama ulikuwa hukuzoea pesa za mtelemko yaani madili utalalamikaje wakati unaendelea kupata pesa zako za halali?? Kwa upande wangu kwa sasa maisha yangu yako normal pesa niliyokuwa natapa ndiyo napata hata sasa na uzuri huduma napata bila shida yoyote kwa kuwa nidhamu ya kazi sehemu za umma imesharudi sehemu yake!! Poleni mliokuwa mmezoea pesa za mtelemko!! Badirikeni....!!

kosa lako ni kutokuwa na genge hata la kuuzia nyaya na vitunguu , bila ungeelewa kinachozungumziwa..

Mzunguko mtaani umepungua au haupo kabisa ndicho kinachoongelewa ndio maana watu wanalalamika, wewe kama unapata mshahara wako kila mwezi jua na tambua kuna watu hawana mshahara na wala hawajaajiriwa bali ni wafanya biashara amabo ili waashi wanategemea uwepo wa mzunguko mtaani, Tambua pia watanzania wengi ni wakulima na wafanya biashara na mlioajiriwa mko wachache...Hawa wengi wanategemea sana uwepo wa mzunguko wa hela mtaani..
 
Grease aka utelezi kwa wale waliozoea kutumia utelezi kwenye mambo yetu yale watakuwa wamemuelewa sana mkuu..

Grease aka kilainishi hutumika sana maeneo fulani ambapo penetration inashindikana au msuguano unaweza kusababisha athari katika uingiliano, ukipaka kilainishi bila shaka utakuwa umetatua tatizo...

WATANZANIA GREASE AU KILAINISHI HUPATIKANA MADUKA YOTE YALIOANDIKWA " TUNAUZA LUBRICANTS" inauzwa kwenye package au kupimwa pia.. POLENI WATANZANIA NA KARIBUNI KWENYE BIDHAA HII INAYOLETA UTELEZI..
 
NI VIZURI MKUU AKAENDELEA KUBANA KABISA HIVYO VYUMA NA IKIWEZEKANA AMWAGIA KEMIKALI INAYOSABABISHA KUTU ILI VIKAZE KABISA ILI WATANZANIA WATESEKE MAANA INAONEKANA WATANZANIA WOOTE NI WAPIGA DILI TU..
 
Mkuu hebu tuseme ukweli kama ulikuwa hukuzoea pesa za mtelemko yaani madili utalalamikaje wakati unaendelea kupata pesa zako za halali?? Kwa upande wangu kwa sasa maisha yangu yako normal pesa niliyokuwa natapa ndiyo napata hata sasa na uzuri huduma napata bila shida yoyote kwa kuwa nidhamu ya kazi sehemu za umma imesharudi sehemu yake!! Poleni mliokuwa mmezoea pesa za mtelemko!! Badirikeni....!!

acha kujiona mwenyewe mkuu, kuna graduate kibao hawana kazi na ukumbuke hakuna mzazi anayesomesha ili kijana akimaliza arudi tena kuwa mzigo badala ya kusaidia wadoge zake na hata wazazi pia nafikiri amilia za kiafrika unazijua vyema
 
Na wale wakulima wa Tandahimba, Namanyere, Kasozibakaya, Puma, Chala, Kaliua, Luiche na kwingineko nao mazao yao kukosa soko ni hewa watie grisi.
Polepole tutafika

mkuu watu wengine utafikiri sio watanzania, hawajui kama tunaowaita wapiga dili walishapiga dili wakatengeneza hela na kuinvest halafu unajifanya unawakazia wakati wao wanakuchora tu maana wanajua kabisa unaowatesa ni raia wema na waganga njaa huko mtaani wanaohangaika kutoboa maisha..
 
acha kujiona mwenyewe mkuu, kuna graduate kibao hawana kazi na ukumbuke hakuna mzazi anayesomesha ili kijana akimaliza arudi tena kuwa mzigo badala ya kusaidia wadoge zake na hata wazazi pia nafikiri amilia za kiafrika unazijua vyema
Mkuu wewe unafikiri kazi ni kuajiriwa tu!! Opportunities zimejaa sana TZ kama utasubiri kuajiriwa mkuu utalalamika sana!
 
kosa lako ni kutokuwa na genge hata la kuuzia nyaya na vitunguu , bila ungeelewa kinachozungumziwa..

Mzunguko mtaani umepungua au haupo kabisa ndicho kinachoongelewa ndio maana watu wanalalamika, wewe kama unapata mshahara wako kila mwezi jua na tambua kuna watu hawana mshahara na wala hawajaajiriwa bali ni wafanya biashara amabo ili waashi wanategemea uwepo wa mzunguko mtaani, Tambua pia watanzania wengi ni wakulima na wafanya biashara na mlioajiriwa mko wachache...Hawa wengi wanategemea sana uwepo wa mzunguko wa hela mtaani..
Mkuu kwa hiyo ulitaka hata mzunguko wa pesa chafu kama madawa ya kulevya uendelee kuwepo kwako sawa tu?? Madhara ya pesa chafu ni makubwa sana kwa uhai wa taifa hivyo ni vyema tuwe na mzunguko halali wa pesa kuliko mzunguko wa pesa chafu madhara yake in long run ni makubwa sana. Think out of the box mkuu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom