Hahaha, nahisi hivyoKwamba na huyu ataharibu nchi kama huyu aliyekuwepo?
Hahaha, nahisi hivyoKwamba na huyu ataharibu nchi kama huyu aliyekuwepo?
Nimeambiwa kwamba wafanyabiashara wengine hutoa Korosho Msumbiji. Wakati wenzetu wakenya na waganda hawazuii mazao ya kilimo toka kwetu kuingia nchini mwao, sisi tunataka kuwafanya watanzania wanaoingiza Korosho toka Msumbiji ni wahalifu.
Serikali inunue zile korosho tu za wakulima, zile zingine za wasio na mashamba waache wenyewe wazitafutie masoko!
Kwa Magu anataka watanzania wote wawe na mtazamo kama wake kwenye moral values.
Serikari aiwezi kuingilia uhuru/makubaliano baina ya watu ili mradi matendo yao sio kinyume na sharia za nchi.
Wao kama wamejikita kusaidia wakulima wanunue basi za hao wenye mashamba, wengine waliozipata kwa mtindo mwingine wawaachie wajue watauza wapi.
Lakini si haki na wala sidhani kama ana mamlaka ya kisheria kuchukua mali za mtu kisa aliingia makubaliano na mkulima ambayo anadhani si haki kwa values zake tu, japokuwa hakuna sharia yoyote iliyovunjwa.
Tanzania hii practice ndio tatizo lakini huko kwengine capitalism iliposhamiri wanaita 'buying hedge/futures' ni practice za kawaida kabisa for risk takers na inamfanya mkulima nae awe na guarantee ya mapato.kweli kabisa
Kama hyo kanghomba ni kinyume cha sheria , wakulima wakaripoti hao madalali polisi kuwe na records wakamatane kesi ziendeleee....sio kuhukumiwa bila mashtaka wala malalamiko kwa jambo ambalo watu walikubalia kwa moyo mmoja
Mambo mengine ni kudhulumu watu tu. Kama Korosho zilinunuliwa kihalali kwa makubaliano kati ya Mnunuzi na Mkulima kosa ama tatizo liko wapi. Mbona wauza mahindi wengi siyo wenye mashamba ya mahindi.
Dhana ya biashara hapa iko wapi? Na wachuuzi iwe ni Kangomba ama wowote wale wanatokana na mfumo mbovu na mbaya wa masoko kwa mazao ya Kilimo nchini mwetu. Dunia nzima wauzaji wa mazao mara nyingi huwa si wakulima. La maana watozwe faini kwa kufanya biashara bila ya kuwa na leseni.
Mpaka 2025 watu wataelewana na naamini watu watakuwa maamuzi yanayofanana maana hakutakuwa na asiyeguswa
Hii haina tofauti na lumbesa au ile ya kubana mzani ili kumwibia mkulima. Mkulima always amekuwa victim wa hawa middlemen, ni bora serikali iweke regulations za kununua mazao kwa wakulima ikiwemo kuweka bei elekezi kwa kila zao na kukagua mizani zinazotumika kupima mazao hayoBnafc mm mtu unaweza kusema Rais hayuko sahihi lakini kwa jicho la tatu kuna Logic watu kuonesha mashamba kwa sababu km waliokuwa wanaweka mgomo ni hawa viongozi wa serikali ndo walikuwa wananunua Kangomba tena kwa kg Tsh.200! Sio sahihi jaman ni vile wengine tuko mjn hatulimi ila hyo ni unyama mtu kutumia shda yako km sababu ya kukukandamiza kungekuwepo na win win situation!
Mtoto wa Chato mnae mpaka 2025, kama Camilius atakuwa na nguvu za kuiongoza kipindi hicho kama tukijaliwa uhai ndipo afikirie. Hiki chuma mnacho kwa miaka saba ijayo.2020 ajiandae kuwa mwananchi wa kawaida kama sisiView attachment 954116
Athibitishe na SIO Adhibitishe: bidhaa kama ya mazao inapoingizwa nchini mwako ni advantage kwako na kama una akili hata ndogo, hupashwi kuzuia labda kama hutaki kutumia akili.Allen Kilewella Nimekupa like kwenye post yako hapo juu kwa sharti kuwa huyo Dalali ama mfanyabiashara adhibitishe kuwa hizo korosho alizinunua Msumbiji na alifuata taratibu zote za kuingiza bidhaa hiyo (korosho) nchini, basi. Hapo ndipo aruhusiwe kuuza popote anapotaka.