Utaonyesha zilipo koroshowje kama una shamba ila huna korosho inakuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaonyesha zilipo koroshowje kama una shamba ila huna korosho inakuwaje?
Inatia hasira sanaKama pesa huna Futa kauli yako.raisi wetu sio kweli. Mkulima Akibanwa na shida anategemea auze mazao yake ili kutatua kinachomkabili ona mpaka Leo pesa haijatoka je Mkulima ataishije. Mungu anawaona kwa haya machukizo na huu ni uonevu wa wazi. Mfano huko mtwara baadhi ya vijijini ndoo ya maji tsh 500-700 wanaishije watu hao?
Tulia kidogo, hebu fikiria ukipeleka kitambaa cha nguo kwa fundi...ile anaanza kukata kata huwezi elewa nini kinatokea baadae! jamaa naona anakata kata! Hizi hela za madalali wa kangomba ndio huwa zinawanunulia mama zetu kanga na vilemba vya "Chagua CCM" matokeo tunawakilishwa na akina ......ndiyoooooooo!Hakuna indicator ya matumaini mbele,
Kwann wanunue korosho za utapeli kwann wasiende nunua shambaniAliyetapeli ni dalali aliyefata mkulima akanunua kilo 200 yeye akaenda kuuza 3200.. Nipo pamoja na rais wangu.. Imefika kipindi mkulima afaidike na wala si wajanja wajanja wachache
Vuvuzela yule ataunga mkono hojakwani Dr.Bashiru anasemaje??
Tuanzie hapo kwanza.
Kwa hali ilivyo sidhani msimu ujao kama wakulima wengi watakuwa tayari kulima korosho. Kwa hali ya wananchi wa Mikoa ya Kusini ambao kipato chao siyo cha kuridhisha ambao kwa msimu wanatakiwa kuwezeshwa SIDHANI kilimo cha korosho kitaendelea kushamiri kama ilivyo misimu miwili iliyopita. Tuseme ukweli hapa ndo kifo cha zao la korosho. Mtakuja kuniambia msimu ujao.
Wakulima tunawalipa walanguzi hatuwalipi
Tunaomba wakati inashugulikiwa hiyo katiba asiwepo huyu mkuu... Tutavumilia tu mpaka 2025 ila si zaidi ya hapo.Ni mpaka 2027 penda usipende, majiizi na wapiga madili waendelee kulia tu! 2025/2026 tutashuhulika na katiba mpya, 2027 ndiyo itumike kwa uchanguzi mkuu(general election)! In short Dr Magufuli ni mpaka 2027. 2020 anapita bila kupingwa!
Hawa viongozi Hivi hawajawahi kuishi maisha ya kawaida ya huko vijijini unakuta mkulima wakati wa kuandaa shamba Lake hana hela anakwenda kukopa kwa hao kina kangomba?Hii practice ya uwepo wa mkulima then katikati kuna middle men, then baada ya middle men kuna wafanyabaishara wakubwa halafu baada ya hapo kuuzwa nje ambapo nako kuna minada ambayo wafanyabiashara husupply viwandani ndiyo chain ya biashara ya mazao ilivyo. Ukiingilia hiyo chain bila kujipanga unaharibu mfumo mzima wa mambo yanavyofanyika. HUWEZI KUMSAIDIA MKULIMA WA KOROSHO KWA KUMNING'INIZA MTEJA WAKE WA TOKA NITOKE, MAANA LEO UMEINTERVENE JE MSIMU UJAO NANI ATAKWENDA KUNUNUA HIZO KOROSHO KUTOKA KWA MKULIMA?
Jamaa ni dhulumati sana mpaka rambirambi anachikichia huyu mtu sembuse awalipe korosho?Hao wakulima wasikilizie maumivu.Na hiyo hela ya mauzo ya korosho hata mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali anaweza asizione kwenye hesabu zake!Thus hana BARAKA kwa kila afanyalo linafail
- Hofu yangu ni kwamba mkishikilia korosho za mtu wakati alizinunua kwa makubaliano na mkulima, je itakuwa ni haki kweli?, maana mkulima ana haki ya kuuza korosho yake hata kwa shilingi mbili kwa kilo,maana ni mali yake
- Hii practice ya Kangomba imeanza leo baada ya sakata la korosho au imekuwepo toka misimu iliyopita na je serikali ilifanya nini?
- Kama mkulima anahitaji hela ya kwenda hospitali, kulipia ada ya mtoto akaweka bondi korosho zake then huyu aliyelipwa kwa korosho ana kosa gani?
- Je ni kinyume cha sheria kumiliki korosho bila kuwa na shamba?
- Je Kangomba ni kinyume cha sheria ya nchi, sheria gani hiyo?
- Kama serikali haiwezi kuwalipa wenye korosho si iwaachie korosho zao wakaziuze wanapoona zinafaa, kwa nini serikali izishikilie?
- Kama kangomba ni kinyume cha sheria ya nchi mbona hamjawakamata hao waliovunja hiyo sheria na kuwafikisha mahakamani?, na kama ni viongozi mbona hamjawapeleka kwenye tume ya maadili ya viongozi?
Ingependeza kweli wanaochati katika huu uzi wakaacha kuchati kwanza tukawaeleza ukweli watawala wasiozingatia maisha ya wenzao katika maamuzi yao!. Hii ishu ni serious mno kwa mustakbali wa wananchi na Taifa
Hahhahahhah unyang'anyi wa wazi kabisa.Hakuna rangi tutaacha kuiona!
Tunalo hilo.Hakuna rangi tutaacha kuiona!