Mcha Mungu ni mtu ambaye.anajari utu .ni mtu ambaye Hana visasi.ni mtu ambaye anamwabudu Mungu.ni mtu ambaye anamwogopa Mungu.ni mtu ambaye Hana ubaguzi ea kidini au wa tabaka lolote. Ni mtu ambaye uongo kwake ni mwiko .maana ukisema uongo asili yake ni shetani .ni mtu asiye na hasira za ovyo ovyo mni mtu anaye sikiliza.mfano Mfalme Daudi alisokiliza alipo onywa na nabii ali sikiliza na akabadilika. Kama JPM anayo hayo Basi ni mcha Mungu.