Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, kama kweli ni mcha Mungu basi muombe radhi Halima Mdee na watu wa Kawe kwa uliyosema hadharani maana uligusa maisha ya watu

Wengi wenu ni watoto wa juzi, hamjui kuwa hii ndio part ya democracy.
Someni mmalize masomo kwanza.
Usitumie hasira mkuu na kujiona wewe mkubwa sana, kila mbunge akifanya hiyo lobiyying unadhani kila mmoja atapata?
Kiufupi ni kuwa awamu ya tano ilitelekeza majimbo ya upizani ili wapinzani wakose sera
 
Usitumie hasira mkuu na kujiona wewe mkubwa sana, kila mbunge akifanya hiyo lobiyying unadhani kila mmoja atapata?
Kiufupi ni kuwa awamu ya tano ilitelekeza majimbo ya upizani ili wapinzani wakose sera
Kitu usichoelewa ni usiku wa giza.
 
Mleta mada umefanya vizuri sana kuambatanisha clip yenye maelezo ya Ndugu Halima akiwa bungeni. Nimeisikiliza mara tano CLIP hii kwa nia ya kuelewa ni namna gani Ndugu Halima alikuwa anaeleza kero na kutoa mapendekezo sahihi ya kutatua kero hizo.

Sehemu zote mbili Ndugu Halima alizosikika kwenye clip hii alifanikiwa sana kuelezea kero za jimbo la Kawe hasa miundo mbinu ya barabara na suala la kero ya mafuriko. Bahati mbaya sana hakugusia kabisa namna gani yeye kama mbunge atashirikiana ama na wananchi ama serikali kwa upande wa wizara husika kutafuta suluhisho na kutekeleza kwa vitendo utatuzi wa kero hizo. Kilichosikika kutoka kwa Ndugu Halima sana sana ni kulalamika kama mwananchi wa kawaida anayeishi jimbo la Kawe. Maswali aliyokuwa anazungumza/uliza bungeni yalitakiwa kuulizwa na mwananchi wa kawaida wa Kawe. Maswali yale yalikuwa hayabebi uzito aliokuwa nao Ndugu Halima, ambaye alikuwa mbunge wa Kawe yaani mwakilishi wa wananchi wa jimbo la Kawe.

Kwanza, kwenye maelezo yake Ndugu Halima kwenye clip hii anazungumzia suala la fidia. Halima kama mbunge nilitegemea anajua kabisa suala la fidia linavyoathiri utekelezaji kwa haraka miradi mingi ya maendeleo. Kama kweli Ndugu Halima alikuwa na nia ya dhati kutatua kero hii, kutokana na suala la fidia, ningemuelewa kama angesema kuwa yeye binafsi ameshiriki kuwashawishi wananchi wa Kawe na wamekubali kuwa wako tayari kupokea nusu hata ya fidia kama malipo ya awali ili mradi uanze kutekelezwa na nusu nyingine wako tayari kupokea baada ya mradi kukamilishwa huku nusu hiyo ikiwa na ka-riba kadogo kakufidia " future value of money ". Sasa kwa mapendekezo haya, tayari Ndugu Halima angeonekana kweli ni mwakilishi na mtafuta suluhu za kero za Kawe na serikali isingekuwa na kisingizio chochote!

Pili, kwenye maelezo ya ndugu Halima yaliyo kwenye clip hii, anasikika pia akisema kuwa kuna suala la mchoro wa mtaro wa maji wa kuondoa mafuriko huko Kawe. Anadai mchoro huo uliandaliwa na TANROAD. Mwishoni mwa maelezo ya Ndugu Halima huko bungeni anasika akihoji eti, je. Mpango huo upo ama haupo! Na anaishia hapo tu! Hatoi suluhu kama haupo nini kifanyike, na kama upo ni nini kifanyike kuharakisha utekelezaji wa mpango huo! Haya ndiyo mambo tunayotaka kusikia kutoka mwakilishi wa kweli wa wananchi wa Kawe ama majimbo mengine!

Haya yote yanaonyesha Ndugu Halima alikuwa hashirikiani na wananchi anao wawakilisha katika vikao halila vya jimbo la Kawe ama anashirikiana nao lakini alikuwa hawezi kuweka ajenda zinazoweza kutoa mapendekezo ya suluhu za kero kutoka kwa wananchi wenyewe. Nina imani Ndugu Halima agewapa nafasi wanaKawe ya kutoa maoni kwakwe wanaovyoona inafaa kutatua kero hizo na yeye kuchambua na kuyapanga vizuri maoni hayo hasingeweza kushindwa kupata njia bora za kutatua kero hizo kwa kushirikisha wananchi na serikali.

Kwa kifupi Ndugu Halima ameonyesha udhaifu mkubwa sana katika kutimiza majukumu ya uwakilishi wa wananchi wanoishi jimbo la Kawe. Kwa hiyo, ni muda muafaka wa Ndugu Halima kuwapisha wana Kawe wengine wafanye kazi hiyo ya uwakilishi aliyoifanya kwa miaka kumi. Tarehe 28/10/2020, kama kweli Ndugu Halima anawatakia mema wananchi wanaoishi jimbo la Kawe, anatakiwa kumpigia kura ndugu Gwajima ili awe mwakilikishi wa jimbo la Kawe. Ndugu Halima ataonyesha uugwana mkubwa sana kwa wananchi wa jimbo la Kawe akitangaza rasmi kumuunga mkono Ndugu Gwajima kuwa mbunge wa Kawe kabla ya kufika hiyo tarehe 28/10/2020.

Yangu ni hayo.

Karibu kwa hoja juu ya suala hili.
Maneno utitiri hoja 0.0001%.
Kama kuna majuha na mabwe*g CCM basi wewe ni numero Waheed!!!
Kwanini hamtaki kukubali kuwa Rais huyu ni mbaguzi, mwovu na Dikteta?
Unapodanganya watu kuwa MAENDELEO hayana CHAMA lakini wakti huohuo unasema CHAGUENI CCM MPATE MAENDELEO YA KWELI na MKICHAGUA UPINZANI IMEKULA KWENU what do you really mean as the Head of state??
Do you think all Tanzanians are fools that you can keep cheating on them as babies? This time around NO WAY!!
CCM MUST GO TO HELL!!
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Ulitaka aevu pichu? Acha uzwazwa dogo
 
Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.

Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.

Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.

Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?

Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.

Sio wajibu wake,

Mkubwa hakosei

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Halima kakaa mianga mingi hajui lobbying anaishia kutoka nje bungeni. Mwaka huu atatoka Kawe ukiangalia viashiria. Kaa chini ujipange kazi za kufanya
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Hata umewekewa video unabisha?!! Ama kweli Ujinga ni ujinga tu
 
Maneno utitiri hoja 0.0001%.
Kama kuna majuha na mabwe*g CCM basi wewe ni numero Waheed!!!
Kwanini hamtaki kukubali kuwa Rais huyu ni mbaguzi, mwovu na Dikteta?
Unapodanganya watu kuwa MAENDELEO hayana CHAMA lakini wakti huohuo unasema CHAGUENI CCM MPATE MAENDELEO YA KWELI na MKICHAGUA UPINZANI IMEKULA KWENU what do you really mean as the Head of state??
Do you think all Tanzanians are fools that you can keep cheating on them as babies? This time around NO WAY!!
CCM MUST GO TO HELL!!
Ha ha ha haaa!!! Mtaniiiiii ! Sindano imekuingia barabara, pole sana. Mambo haya hayahitaji hamaki. Unatakiwa kutulizana kisha unakuja na hoja za kututoa kwenye reli wale tunaoona mambo mengi kwa kijicho la ziada.
 
KAMA INGEKUA MAJIMBO YOTE YA CCM YANA MAENDELEO MAZURI, BASI NINGEAMINI KAULI ZAKE ILA KWASASA ASITUDANGANYE ETI SEHEMU FLANI HAIJAENDELEA KISA IMECHAGUA UPINZANI.
MBONA MAJIMBO YA MKOA WA DODOMA YOTE YANATAWALIWA NA CCM LAKINI TUNASHUHUDIA JIMBO LA NDUGAI WANAFUNZI BADO WANAKAA CHINI NA HAWANA MADARASA YA KUSOMEA?
 
KAMA INGEKUA MAJIMBO YOTE YA CCM YANA MAENDELEO MAZURI, BASI NINGEAMINI KAULI ZAKE ILA KWASASA ASITUDANGANYE ETI SEHEMU FLANI HAIJAENDELEA KISA IMECHAGUA UPINZANI.
MBONA MAJIMBO YA MKOA WA DODOMA YOTE YANATAWALIWA NA CCM LAKINI TUNASHUHUDIA JIMBO LA NDUGAI WANAFUNZI BADO WANAKAA CHINI NA HAWANA MADARASA YA KUSOMEA?
Hkuna mnasiasa mkweli, hilo ujue.
Kilamtu kama muwamba ngoma, huvutia kwake.
 
Ha ha ha haaa!!! Mtaniiiiii ! Sindano imekuingia barabara, pole sana. Mambo haya hayahitaji hamaki. Unatakiwa kutulizana kisha unakuja na hoja za kututoa kwenye reli wale tunaoona mambo mengi kwa kijicho la ziada.
Huna lolote ewe bweg* wa Lumumba..!!
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Hopeless kabisa, huoni Magufuli alivyo muongo?
 
Hata Temeke watu wanakufa mafuriko. Barabara za mitaaa mbovu mno. Asituletee Siasa za chooni huyu yaani maji taka. Kwanza amekuwa Waziri wa ujenzi na moundombimi miaka lukuki na Rais miaka 5 lakini mafuriko DSM ni aibu ya dunia. Yaani hapo ndiyo ninapochukia kabisa watu waongo wanaojua kulitaja jina la Mungu baba bure
 
Hata Temeke watu wanakufa mafuriko. Barabara za mitaaa mbovu mno. Asituletee Siasa za chooni huyu yaani maji taka. Kwanza amekuwa Waziri wa ujenzi na moundombimi miaka lukuki na Rais miaka 5 lakini mafuriko DSM ni aibu ya dunia. Yaani hapo ndiyo ninapochukia kabisa watu waongo wanaojua kulitaja jina la Mungu baba bure
1602939071833.jpeg

Hiyo ni Kentucky USA.
Nako kuna mafuriko.
 
Back
Top Bottom