cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,304
Yani naona tu hyo Wizara imepoza flani hivi tofauti na awamu iliyopita ujue hyo Wizara ni muhimu.mkuu unataka mahiga awe mchangamfu kama ametiwa ndimu ya mchina?
yani arukeruke kama bisi motoni au awe mapepe kama joti?