Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Kwa East Africa, Central na Southern Africa ni Tanzania pekee ndo imekula ban ya Marekani, na Wamefanya nchi yetu Sasa ionekane ya kikora sawa na Somalia, Libya na Eritrea...yan hata Burundi inaonekana ina afadhali..
Na Habari za Uhakika ni kuwa European Union na UK nao watafollow suit.
Basi, Magufuli, CCM, Kassim Majaliwa, Job Ndugai, Simon Sirro, Ali Bashiru, Makonda na wahalifu wengine wa Utawala wa Sasa watambue kuwa hapa ndo wametufikisha, wana legitimacy ya kuendelea kutuongoza? Nah
Na Habari za Uhakika ni kuwa European Union na UK nao watafollow suit.
Basi, Magufuli, CCM, Kassim Majaliwa, Job Ndugai, Simon Sirro, Ali Bashiru, Makonda na wahalifu wengine wa Utawala wa Sasa watambue kuwa hapa ndo wametufikisha, wana legitimacy ya kuendelea kutuongoza? Nah