Rais Magufuli: Ishu ya Zanzibar ni Mtego kwako kuwa makini

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,090
Ishu ya Zanzibar imekaa kimtego sana kwa Rais Magufuli.

Anahitaji kuisolve kwa hekima sana, na katika kuisolve inapaswa asiwasikilize kabisa wale wenye mihemko ya kisiasa kutoka katika chama chake wanaowaza matumbo yao.

1. Zanzibar yenye machafuko haitomuacha salama
Jamii ya kimataifa inafuatilia kwa makini sana yanayotendeka nchini hususan Zanzibar.
Ni dhahiri Jumuia ya Kimataifa itakuwa tough tena tough sana kwa rais Magufuli iwapo rafu za kisiasa zitafanyika huko Zanzibar.

Na iwapo itatokea vifo vya kisiasa, Magufuli na wasaidizi wake na wahafidhina huko Zanzibar watakuwa katika hali ngumu sana na ninahofia wanaweza kufikishwa ICC. Kwa hiyo namshauri awe makini sana asikubali michezo michafu ya kutaka kuwaengua wagombea wenye ushawishi huko Zanzibar

2. Zanzibar isiyo na maridhiano ni mzigo mzito wa kiuchumi
Uchaguzi wenye magumashi huko Zanzibar utapelekea wahisani kutunyima mikopo nafuu, misaada na hata kufikia hali ya kuiwekea serikali ya JMT na ya Zanzibar itakayopatikana kibabe vikwazo vya kiuchumi.

hali hiyo italazimisha Rais wa Muungano kutumia resources zake kuibeba kifedha serikali ya SMZ iliyohohehahe, katika mazingira hayo rais atajikuta ana mzigo mzito wa kubeba serikali nzima ya SMZ na wakati huohuo nchi nzima ikiwa imefulia kutokana na vikwazo na kukosa mikopo.

Hali hiyo itapelekea JPM kama akiendekea na uraisi kujikuta anakosa pesa za kutekeleza miradi aliyoikusudia na pia kushibdwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi, Hii itasababisha wananchi wazidi kumchukia, na kukichukia chama chake na inaweza kupelekea hali ya maisha ya wananchi kuzidi kuwa mbaya zaidi ya iivyo sasa

3. Kuharibu uchaguzi Zanzibar kutakomaza mbegu ya kuvunja muungano
Wazanzibari walishaonyesha kutaka serikali tatu, na hili halitaondoka kwa kuondoka Maalim Seif katika ulingo wa kisiasa. Na Laiti vichwa makini nsani ya CCM vingeumiza vichwa vyao tena vingegundua kuwa wale wahafidhina huko Zanzibar ambao wanajifanya wafia chama ni kwa sababu ya madaraka tu waliyonayo,

Nje ya madaraka hao wote wanataka Zanzibar yenye mamlaka kamili. Kitendo cha kuvuruga uchaguzi na kucheza tena faulo kuwanyima Wazanzibar haki ya kumchagua wamtakaye kitaongeza chuki mioyoni mwao dhidi ya huu muungano, na hatimaye huu muungano itafikia hatua utakosa watetezi wengi kutoka upande wa Zanzibar, na ikifika hatua hatua hiyo hakuna jeshi wala nguvu itakayolazimisha huo muungano uwepo.

Ni haki peke yake kwa wananchi itakayolinda na kudumisha muungano, la sivyo huu muswada wa sheria wa kuwadhibiti akina maalim kugombea iwapo utapita na watawala wakalazimisha sheria ifanye kazi kwa kurudi nyuma basi itaaccelerate kufa kwa huu muungano huko mbeleni.

Ushauri wangu
1. Namshauri Rais Magufuli ajijengee legacy ya kukumbukwa kwa kuwatendea haki Wazanzibari, awape haki yao ya kuchagua wamtakaye bila figisufigisu

2. Iwapo Zanzibar itaangukia kwenye machafuko kwa sababu za kibabe mfano wa zile za mwaka 2015, safari hii international. community haitomuacha mtu salama, kuna watu watapekekwa ICC, namshauri asije kujikuta matatani baada ya yeye kutoka madarakani, ni bora kuchukua tahadhari mapema kwa kutenda haki.

3. Iwapo serikali ya CCM itamess up na ishu ya Zanzibar, basi ijiandae kubeba zigo zito sana la serikali hizi mbili kwa kutumia kodi za makabwela wa Tanganyika maana wahisani watakaza watakaza vyuma mno. Hii itapelekea JPM kushindwa kutimiza malengo yake ya miradi mbalimbali anayowaza kuifanya

Ni heri CCM na serikali yake ya sasa wakayatafakari haya la sivyo wanaweza kupata tabu sana hapo baadae!
 
Mkuu umeongea point zinazoeleweka!

NB:Jifunze kundika heading,unapoanza jina la mtu halafu ukaweka alama ya nukta mbili basi mtu anajua unaandika kile alichotamka!
 
Hekima awe nayo nani? Wewe nakuheshimu sana, ngoja niachie hapa
Ishu ya Zanzibar imekaa kimtego sana kwa rais Magufuli.
Anahitaji kuisolve kwa hekima sana, na katika kuisolve inapaswa asiwasikilize kabisa wale wenye mihemko ya kisiasa kutoka katika chama chake wanaowaza matumbo yao.

1. Zanzibar yenye machafuko haitomuacha salama

Jamii ya kimataifa inafuatilia kwa makini sana yanayotendeka nchini hususan Zanzibar.
Ni dhahiri Jumuia ya Kimataifa itakuwa tough tena tough sana kwa rais Magufuli iwapo rafu za kisiasa zitafanyika huko Zanzibar.
Na iwapo itatokea vifo vya kisiasa, Magufuli na wasaidizi wake na wahafidhina huko Zanzibar watakuwa katika hali ngumu sana na ninahofia wanaweza kufikishwa ICC. Kwa hiyo namshauri awe makini sana asikubali michezo michafu ya kutaka kuwaengua wagombea wenye ushawishi huko Zanzibar

2. Zanzibar isiyo na maridhiano ni mzigo mzito wa kiuchumi.

Uchaguzi wenye magumashi huko Zanzibar utapelekea wahisani kutunyima mikopo nafuu, misaada na hata kufikia hali ya kuiwekea serikali ya JMT na ya Zanzibar itakayopatikana kibabe vikwazo vya kiuchumi, hali hiyo italazimisha Rais wa Muungano kutumia resources zake kuibeba kifedha serikali ya SMZ iliyohohehahe, katika mazingira hayo rais atajikuta ana mzigo mzito wa kubeba serikali nzima ya SMZ na wakati huohuo nchi nzima ikiwa imefulia kutokana na vikwazo na kukosa mikopo. Hali hiyo itapelekea JPM kama akiendekea na uraisi kujikuta anakosa pesa za kutekeleza miradi aliyoikusudia na pia kushibdwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi, Hii itasababisha wananchi wazidi kumchukia, na kukichukia chama chake na inaweza kupelekea hali ya maisha ya wananchi kuzidi kuwa mbaya zaidi ya iivyo sasa

3. Kuharibu uchaguzi Zanzibar kutakomaza mbegu ya kuvunja muungano

Wazanzibari walishaonyesha kutaka serikali tatu, na hili halitaondoka kwa kuondoka Maalim Seif katika ulingo wa kisiasa. Na Laiti vichwa makini nsani ya CCM vingeumiza vichwa vyao tena vingegundua kuwa wale wahafidhina huko Zanzibar ambao wanajifanya wafia chama ni kwa sababu ya madaraka tu waliyonayo, nje ya madaraka hao wote wanataka Zanzibar yenye mamlaka kamili. Kitendo cha kuvuruga uchaguzi na kucheza tena faulo kuwanyima Wazanzibar haki ya kumchagua wamtakaye kitaongeza chuki mioyoni mwao dhidi ya huu muungano, na hatimaye huu muungano itafikia hatua utakosa watetezi wengi kutoka upande wa Zanzibar, na ikifika hatua hatua hiyo hakuna jeshi wala nguvu itakayolazimisha huo muungano uwepo. Ni haki peke yake kwa wananchi itakayolinda na kudumisha muungano, la sivyo huu muswada wa sheria wa kuwadhibiti akina maalim kugombea iwapo utapita na watawala wakalazimisha sheria ifanye kazi kwa kurudi nyuma basi itaaccelerate kufa kwa huu muungano huko mbeleni.

Ushauri wangu
1. Namshauri Rais Magufuli ajijengee legacy ya kukumbukwa kwa kuwatendea haki Wazanzibari, awape haki yao ya kuchagua wamtakaye bila figisufigisu

2. Iwapo Zanzibar itaangukia kwenye machafuko kwa sababu za kibabe mfano wa zile za mwaka 2015, safari hii international. community haitomuacha mtu salama, kuna watu watapekekwa ICC, namshauri asije kujikuta matatani baafa ya yeye kutoka madarakani, ni bora kuchukua tahadhari mapema kwa kutenda haki.

3. Iwapo serikali ya CCM itamess up na ishu ya Zanzibar, basi ijiandae kubeba zigo zito sana la serikali hizi mbili kwa kutumia kodi za makabwela wa Tanganyika maana wahisani watakaza watakaza vyuma mno. Hii itapelekea JPM kushindwa kutimiza malengo yake ya miradi mbalimbali anayowaza kuifanya

Ni heri CCM na serikali yake ya sasa wakayatafakari haya la sivyo wanaweza kupata tabu sana hapo baadae!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar walipigania Uhuru wao... Sio sisi wasukuma .


Zanzibar Dini ipo .kichwan, na wenzetu kwao Kupigania Haki yao Kimwili nijambo LA kawaida.


Zanzibar Maalim Seif ,yeye atabaki kua mwenye nguvu .



Kama CCM wana tafuta Machafuko sababu ya FAIDA zao, waendelee nahuu mpango wao.


mabeberu hawana cha kupoteza, ili mradi tu masilahi yao yatabaki kua salama.



Ila kwa kua JIWE anashauliwa na akina Bashite na wachumia tumbo ,... Hilo hawez kuliona.
 
Zanzibar walipigania Uhuru wao... Sio sisi wasukuma .


Zanzibar Dini ipo .kichwan, na wenzetu kwao Kupigania Haki yao Kimwili nijambo LA kawaida.


Zanzibar Maalim Seif ,yeye atabaki kua mwenye nguvu .



Kama CCM wana tafuta Machafuko sababu ya FAIDA zao, waendelee nahuu mpango wao.


mabeberu hawana cha kupoteza, ili mradi tu masilahi yao yatabaki kua salama.



Ila kwa kua JIWE anashauliwa na akina Bashite na wachumia tumbo ,... Hilo hawez kuliona.

Laiti Wana CCM wa huku bara wangetambua kuwa mioyoni mwa wana CCM wa Zanzibar kuna kutaka zanzibar yenye mamlaka kamili basi wasingejitoa ufahamu kupigania kuendelea na status quo ya mfumo wa serikali mbili.

Wana CCM kutoka Zanzibar wakiwa ndani ya madaraka ya serikali ya JMT wanajipotray kama kwamba wanaunga mkono serikali mbili kumbe wanaitamani Zanzibar yenye mamlaka kamili
 
Mbona umeanza kupata hofu as if Zanzibar ndio imeanza kuwepo leo?

Pamoja na changamoto zote zilizopo, awamu hii Zenji imetulia, na hata kwenye uchaguzi watu wataufanya wakiwa watulivu hivi hivi.

Nchi imeshikwa na wanaume wewe.
 
Mbona umeanza kupata hofu as if Zanzibar ndio imeanza kuwepo leo?

Pamoja na changamoto zote zilizopo, awamu hii Zenji imetulia, na hata kwenye uchaguzi watu wataufanya wakiwa watulivu hivi hivi.

Nchi imeshikwa na wanaume wewe.

Hao unaosema wanaume wameshika nchi, basi kuna wanaume ambao wao wenyewe hupenda kuwaita mabeberu wanaangalia very closely kinachoendelea huko.
Hata Albashir alidhani yeye ni mwanaume, sasa anapelekwa ICC kinyonge
Waambie hao unaodhani ni wanaume basi kuna wanaume wenye ndevu kubwa zaidi yao wanawaangalia tu moves zao!
 
Zanzibar walipigania Uhuru wao... Sio sisi wasukuma .


Zanzibar Dini ipo .kichwan, na wenzetu kwao Kupigania Haki yao Kimwili nijambo LA kawaida.


Zanzibar Maalim Seif ,yeye atabaki kua mwenye nguvu .



Kama CCM wana tafuta Machafuko sababu ya FAIDA zao, waendelee nahuu mpango wao.


mabeberu hawana cha kupoteza, ili mradi tu masilahi yao yatabaki kua salama.



Ila kwa kua JIWE anashauliwa na akina Bashite na wachumia tumbo ,... Hilo hawez kuliona.
hatari sana
 
Hao unaosema wanaume wameshika nchi, basi kuna wanaume ambao wao wenyewe hupenda kuwaita mabeberu wanaangalia very closely kinachoendelea huko.
Hata Albashir alidhani yeye ni mwanaume, sasa anapelekwa ICC kinyonge
Waambie hao unaodhani ni wanaume basi kuna wanaume wenye ndevu kubwa zaidi yao wanawaangalia tu moves zao!
Mwana ume utaogopa je ICC? Kwanza nani alishapelekwa ICC akafungwa?

Uhuru Kenyatta alipelekwa lakini hadi leo yupo kitaa anaongoza nchi. Gabo, Ali Bongo wa Gaboni hadi sasa anautaka tena urais.
 
Ishu ya Zanzibar imekaa kimtego sana kwa Rais Magufuli.

Anahitaji kuisolve kwa hekima sana, na katika kuisolve inapaswa asiwasikilize kabisa wale wenye mihemko ya kisiasa kutoka katika chama chake wanaowaza matumbo yao.

1. Zanzibar yenye machafuko haitomuacha salama
Jamii ya kimataifa inafuatilia kwa makini sana yanayotendeka nchini hususan Zanzibar.
Ni dhahiri Jumuia ya Kimataifa itakuwa tough tena tough sana kwa rais Magufuli iwapo rafu za kisiasa zitafanyika huko Zanzibar.

Na iwapo itatokea vifo vya kisiasa, Magufuli na wasaidizi wake na wahafidhina huko Zanzibar watakuwa katika hali ngumu sana na ninahofia wanaweza kufikishwa ICC. Kwa hiyo namshauri awe makini sana asikubali michezo michafu ya kutaka kuwaengua wagombea wenye ushawishi huko Zanzibar

2. Zanzibar isiyo na maridhiano ni mzigo mzito wa kiuchumi
Uchaguzi wenye magumashi huko Zanzibar utapelekea wahisani kutunyima mikopo nafuu, misaada na hata kufikia hali ya kuiwekea serikali ya JMT na ya Zanzibar itakayopatikana kibabe vikwazo vya kiuchumi.

hali hiyo italazimisha Rais wa Muungano kutumia resources zake kuibeba kifedha serikali ya SMZ iliyohohehahe, katika mazingira hayo rais atajikuta ana mzigo mzito wa kubeba serikali nzima ya SMZ na wakati huohuo nchi nzima ikiwa imefulia kutokana na vikwazo na kukosa mikopo.

Hali hiyo itapelekea JPM kama akiendekea na uraisi kujikuta anakosa pesa za kutekeleza miradi aliyoikusudia na pia kushibdwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi, Hii itasababisha wananchi wazidi kumchukia, na kukichukia chama chake na inaweza kupelekea hali ya maisha ya wananchi kuzidi kuwa mbaya zaidi ya iivyo sasa

3. Kuharibu uchaguzi Zanzibar kutakomaza mbegu ya kuvunja muungano
Wazanzibari walishaonyesha kutaka serikali tatu, na hili halitaondoka kwa kuondoka Maalim Seif katika ulingo wa kisiasa. Na Laiti vichwa makini nsani ya CCM vingeumiza vichwa vyao tena vingegundua kuwa wale wahafidhina huko Zanzibar ambao wanajifanya wafia chama ni kwa sababu ya madaraka tu waliyonayo,

Nje ya madaraka hao wote wanataka Zanzibar yenye mamlaka kamili. Kitendo cha kuvuruga uchaguzi na kucheza tena faulo kuwanyima Wazanzibar haki ya kumchagua wamtakaye kitaongeza chuki mioyoni mwao dhidi ya huu muungano, na hatimaye huu muungano itafikia hatua utakosa watetezi wengi kutoka upande wa Zanzibar, na ikifika hatua hatua hiyo hakuna jeshi wala nguvu itakayolazimisha huo muungano uwepo.

Ni haki peke yake kwa wananchi itakayolinda na kudumisha muungano, la sivyo huu muswada wa sheria wa kuwadhibiti akina maalim kugombea iwapo utapita na watawala wakalazimisha sheria ifanye kazi kwa kurudi nyuma basi itaaccelerate kufa kwa huu muungano huko mbeleni.

Ushauri wangu
1. Namshauri Rais Magufuli ajijengee legacy ya kukumbukwa kwa kuwatendea haki Wazanzibari, awape haki yao ya kuchagua wamtakaye bila figisufigisu

2. Iwapo Zanzibar itaangukia kwenye machafuko kwa sababu za kibabe mfano wa zile za mwaka 2015, safari hii international. community haitomuacha mtu salama, kuna watu watapekekwa ICC, namshauri asije kujikuta matatani baada ya yeye kutoka madarakani, ni bora kuchukua tahadhari mapema kwa kutenda haki.

3. Iwapo serikali ya CCM itamess up na ishu ya Zanzibar, basi ijiandae kubeba zigo zito sana la serikali hizi mbili kwa kutumia kodi za makabwela wa Tanganyika maana wahisani watakaza watakaza vyuma mno. Hii itapelekea JPM kushindwa kutimiza malengo yake ya miradi mbalimbali anayowaza kuifanya

Ni heri CCM na serikali yake ya sasa wakayatafakari haya la sivyo wanaweza kupata tabu sana hapo baadae!
NATABIRI andiko lako litatimia kama lile la MAGAMBA MATATU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom