Rais Magufuli ifikapo 2026 utashangazwa na mengi

Levels baby

JF-Expert Member
Sep 26, 2019
831
768
Natumai mzima huko chamwino kwenye makazi yako mapya maana kwa habari tulizonazo wana mtandao ni kuwa umeamua kuhamia rasmi na ndugu zangu makao makuu oysterbay pale wiki ijayo asilimia 90% wanaondoka.

Na umewaambia ukirudi baada ya mapumziko ya sikukuu hutalitaka tena jiji letu pendwa ila umchukue na mtoto wako hapa tuletee Anthony tufanye nae kazi.

Turudi kwenye topic kama head inaposema hapo juu, nimeandika hivyo sababu nilichokiona watendaji wako hawakuambii ukweli sababu wewe hujaruhusu ukweli bali kuna watu wako uliowaamini ndio wanaokupotosha tena vibaya mno, maana washakusoma kuwa wewe ni mtu wa mikwara tu lakini kiundani ni mweupe.

Sikufichi hamna serikali inayopigwa kama yako tena inapigwa vibaya mno na watu wa karibu yako, ndio maana nakuambia Rais ajae ndiye atakayekuambia ufisadi wote unaofanyika katika serikali yako kama wewe unavyofanya majukwaani kwa wenzio.

Nimeona juzi umeongea kauli nyingi sana kwa Bwana Kebwe pale Morogoro kuonyesha kuwa kuna pigo alikuwa anazitengeneza, pia nimeona Waziri Mkuu akilia na TBA bado kule Mtwara alilia na hospital ya umma hayo ni madogo sana unapigwa tena vibaya mno, sababu umeruhusu wenye majungu ndio wawe karibu yako sisi tunaacha ila 2026 tutakukumbusha yote na kukuonesha.

Pia tutakukumbusha na ile 1.5 trillion + 2trillion + mikataba ya ndege.

Jioni njema mkuu wangu wa nchi.
 
Huenda tukawa na subira ila tu kama tuna unafuu wa maisha siku baada ya siku,Lakini mambo yamekaa vibaya sana hongera kiongozi wangu lakini ubadilike kulingana na upepo unavyokwenda ukiwa unawahudumia watu milion 60 jua kuna watu 43 million kuishi kwao ni kutegemea kile cha serikali imekaaje na wengine17million wanasononeka japo wanakula na hao ndo wapiga kura huku ccm million 10 na upinzani millioni 50.Ni hekima zaidi ikuongoze tena nI hii ya MUNGU BABA.Kazi njema na uchaguzi mwema tumia mathematics.
 
Kwa hiyo mpaka 2026 utakuwa umekaa tu kusubiri Magufuli ashindwe ufurahie? Vipi familia yako inaendeleaje lkn usiisahahu kwa kukaa kusubiri Raisi wa nchi ashindwe, ...
 
Kwa hiyo mpaka 2026 utakuwa umekaa tu kusubiri Magufuli ashindwe ufurahie? Vipi familia yako inaendeleaje lkn usiisahahu kwa kukaa kusubiri Raisi wa nchi ashindwe, ...
Anamaanisha atakuwa amemaliza muda wake.
 
Natumai mzima huko chamwino kwenye makazi yako mapya maana kwa habari tulizonazo wana mtandao ni kuwa umeamua kuhamia rasmi na ndugu zangu makao makuu oysterbay pale wiki ijayo asilimia 90% wanaondoka.

Na umewaambia ukirudi baada ya mapumziko ya sikukuu hutalitaka tena jiji letu pendwa ila umchukue na mtoto wako hapa tuletee Anthony tufanye nae kazi.

Turudi kwenye topic kama head inaposema hapo juu, nimeandika hivyo sababu nilichokiona watendaji wako hawakuambii ukweli sababu wewe hujaruhusu ukweli bali kuna watu wako uliowaamini ndio wanaokupotosha tena vibaya mno, maana washakusoma kuwa wewe ni mtu wa mikwara tu lakini kiundani ni mweupe.

Sikufichi hamna serikali inayopigwa kama yako tena inapigwa vibaya mno na watu wa karibu yako, ndio maana nakuambia Rais ajae ndiye atakayekuambia ufisadi wote unaofanyika katika serikali yako kama wewe unavyofanya majukwaani kwa wenzio.

Nimeona juzi umeongea kauli nyingi sana kwa Bwana Kebwe pale Morogoro kuonyesha kuwa kuna pigo alikuwa anazitengeneza, pia nimeona Waziri Mkuu akilia na TBA bado kule Mtwara alilia na hospital ya umma hayo ni madogo sana unapigwa tena vibaya mno, sababu umeruhusu wenye majungu ndio wawe karibu yako sisi tunaacha ila 2026 tutakukumbusha yote na kukuonesha.

Pia tutakukumbusha na ile 1.5 trillion + 2trillion + mikataba ya ndege.

Jioni njema mkuu wangu wa nchi.





The same to u,unaleta majungu tu
 
Natumai mzima huko chamwino kwenye makazi yako mapya maana kwa habari tulizonazo wana mtandao ni kuwa umeamua kuhamia rasmi na ndugu zangu makao makuu oysterbay pale wiki ijayo asilimia 90% wanaondoka.

Na umewaambia ukirudi baada ya mapumziko ya sikukuu hutalitaka tena jiji letu pendwa ila umchukue na mtoto wako hapa tuletee Anthony tufanye nae kazi.

Turudi kwenye topic kama head inaposema hapo juu, nimeandika hivyo sababu nilichokiona watendaji wako hawakuambii ukweli sababu wewe hujaruhusu ukweli bali kuna watu wako uliowaamini ndio wanaokupotosha tena vibaya mno, maana washakusoma kuwa wewe ni mtu wa mikwara tu lakini kiundani ni mweupe.

Sikufichi hamna serikali inayopigwa kama yako tena inapigwa vibaya mno na watu wa karibu yako, ndio maana nakuambia Rais ajae ndiye atakayekuambia ufisadi wote unaofanyika katika serikali yako kama wewe unavyofanya majukwaani kwa wenzio.

Nimeona juzi umeongea kauli nyingi sana kwa Bwana Kebwe pale Morogoro kuonyesha kuwa kuna pigo alikuwa anazitengeneza, pia nimeona Waziri Mkuu akilia na TBA bado kule Mtwara alilia na hospital ya umma hayo ni madogo sana unapigwa tena vibaya mno, sababu umeruhusu wenye majungu ndio wawe karibu yako sisi tunaacha ila 2026 tutakukumbusha yote na kukuonesha.

Pia tutakukumbusha na ile 1.5 trillion + 2trillion + mikataba ya ndege.

Jioni njema mkuu wangu wa nchi.
We mtumishi wa umma umeamua kumchana live bosi wako baada ya kukosa mgao?
 
Soma bandiko taratibu mkuu.
Haya mambo tunakosea sana kuja na mentality ya vyama.
muda mwingine mkuu sio lazima ujibie kila hoja ya kitoto,uzi wako unajieleza vema na wasomaji tunataikiwa kwanza kujifunza kusoma kwa kuelewa,na pili kama hukubaliani na hoja iliyopo,ni vema ukaja na hoja iliyobora zaidi,ni vema tukapingina kihoja sio mtoa hoja.
 
Kwa hiyo mpaka 2026 utakuwa umekaa tu kusubiri Magufuli ashindwe ufurahie? Vipi familia yako inaendeleaje lkn usiisahahu kwa kukaa kusubiri Raisi wa nchi ashindwe, ...
Si atumwambii ukwel sabb kachagua watu wa kumwambia acha apigwe sisi tutambia rais,wewe jua mimi ni mmojawapo kati ya wapigaji kwa hiyo michezo yote naijua
 
Back
Top Bottom