Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 768
- Thread starter
- #21
Diwani kawawekea tangazo jana kuwa wiki ijayo safariUmesahau pia wale ndugu zetu wa makumbusho pia kufika wiki ijayo watakuwa Idodomya...
Diwani kawawekea tangazo jana kuwa wiki ijayo safariUmesahau pia wale ndugu zetu wa makumbusho pia kufika wiki ijayo watakuwa Idodomya...
Umeelewa lakini kilichoelezwa au kigololi kikikushuka unakurupuka tu.Kwa hiyo mpaka 2026 utakuwa umekaa tu kusubiri Magufuli ashindwe ufurahie? Vipi familia yako inaendeleaje lkn usiisahahu kwa kukaa kusubiri Raisi wa nchi ashindwe, ...
Cartel's.Organized crime
Naona fujo zao kwa kiasi fulani zitapungua...Diwani kawawekea tangazo jana kuwa wiki ijayo safari
Umeelewa kilichoandikwa? Unaelewa mile kivuko alichowapa wanajeshi kilinunuliwa kwa Euro million ngapi yeye akiwa ndio waziri wa ujenzi/miundombinu?Kwa hiyo mpaka 2026 utakuwa umekaa tu kusubiri Magufuli ashindwe ufurahie? Vipi familia yako inaendeleaje lkn usiisahahu kwa kukaa kusubiri Raisi wa nchi ashindwe, ...
Unauhakika kua 2025 ataondoka? Nabadilisha katiba hamna nafasi mpaka nikifa. Na hapo nikifa mikoba atairisi mtoto wangu mpendwaNatumai mzima huko chamwino kwenye makazi yako mapya maana kwa habari tulizonazo wana mtandao ni kuwa umeamua kuhamia rasmi na ndugu zangu makao makuu oysterbay pale wiki ijayo asilimia 90% wanaondoka.
Na umewaambia ukirudi baada ya mapumziko ya sikukuu hutalitaka tena jiji letu pendwa ila umchukue na mtoto wako hapa tuletee Anthony tufanye nae kazi.
Turudi kwenye topic kama head inaposema hapo juu, nimeandika hivyo sababu nilichokiona watendaji wako hawakuambii ukweli sababu wewe hujaruhusu ukweli bali kuna watu wako uliowaamini ndio wanaokupotosha tena vibaya mno, maana washakusoma kuwa wewe ni mtu wa mikwara tu lakini kiundani ni mweupe.
Sikufichi hamna serikali inayopigwa kama yako tena inapigwa vibaya mno na watu wa karibu yako, ndio maana nakuambia Rais ajae ndiye atakayekuambia ufisadi wote unaofanyika katika serikali yako kama wewe unavyofanya majukwaani kwa wenzio.
Nimeona juzi umeongea kauli nyingi sana kwa Bwana Kebwe pale Morogoro kuonyesha kuwa kuna pigo alikuwa anazitengeneza, pia nimeona Waziri Mkuu akilia na TBA bado kule Mtwara alilia na hospital ya umma hayo ni madogo sana unapigwa tena vibaya mno, sababu umeruhusu wenye majungu ndio wawe karibu yako sisi tunaacha ila 2026 tutakukumbusha yote na kukuonesha.
Pia tutakukumbusha na ile 1.5 trillion + 2trillion + mikataba ya ndege.
Jioni njema mkuu wangu wa nchi.
Kweli naona vijana asaivi mtakunywa bia kwa raha hapo bucket maana sio kwa kuwindwa kuleNaona fujo zao kwa kiasi fulani zitapungua...
Mwanzo watu hawakujua kama mweupe hiviHahahaa jipigieni huyu ngosha anajidai sa a, mkipata channel pigeni sana tu.
Mikosi inawezapungua ndani ya jiji letu kama kahama moja kwa moja kabaki bashite naye 2021 atakuwa waziri ataondoka hatutaki watu washamba tuacheni tule starehe kidogo bila stress, matamko mwisho Morogoro Mpaka Chato.
Vijana watakuwa huru sana kuzungumza mambo yao nyeti...Kweli naona vijana asaivi mtakunywa bia kwa raha hapo bucket maana sio kwa kuwindwa kule
Hivi jengo la magogoni nalo litakua ikulu ndogo?Itakuwa ofisi ndogo kama ilivyokuwa ya dodoma majembe yote yataenda idodomya...
Labda kama tumekufa kabla ya 2024Unauhakika kua 2025 ataondoka? Nabadilisha katiba hamna nafasi mpaka nikifa. Na hapo nikifa mikoba atairisi mtoto wangu mpendwa
Yes Sir.Hivi jengo la magogoni nalo litakua ikulu ndogo?
Over 80% tena wale vichwa haswa..wanapungua kwa kiasi kikubwa
Huwa wanatangulia kuungana na walioko raisi anako enda au huwa wanamfuata kama kumbikumbi?Over 80% tena wale vichwa haswa..
Akiwa na ratiba ya Dar watakuwa wanamfuata kama kumbikumbi...
kwa hiyo Rose garden na triple 7 kutapumua kidogoVijana watakuwa huru sana kuzungumza mambo yao nyeti...
Wanafalsafa inayosema ulipo tupo. Jiroge kuongea kwa uhuru uonekwa hiyo Rose garden na triple 7 kutapumua kidogo
Kwa hiyo akiondoka watu wa dar mtajipa kajamuhuri kenu??? Safi sanaMikosi inawezapungua ndani ya jiji letu kama kahama moja kwa moja kabaki bashite naye 2021 atakuwa waziri ataondoka hatutaki watu washamba tuacheni tule starehe kidogo bila stress, matamko mwisho Morogoro Mpaka Chato.