Rais Magufuli huoni aibu? Mbunge anapigwa risasi hadharani mchana kweupe na hakuna chochote kilichofanyika!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,873
Hivi jamani hata aibu watu hawaoni? Mbunge anapigwa risasi hadharani tena mchana kweupe na hakuna chochote kinachofanyika kutoka serikalini zaidi ya kuendelea kumuumiza!

Tunaenda kwenye ibada kufanya nini! Tena mbaya zaidi na baadhi ya viongozi wa dini wanafumbia macho ukiukwaji huu mkubwa wa haki ya mtu ya kuishi! Hapana labda kuna watu ambao hawajaumbwa kwa nyama na damu! Labda wapo wenye miili iliyoundwa kwa chuma!

Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi hadharani na mwisho kuvuliwa ubunge limefehdehesha taifa na kuonekana kuwa sisi ni binadamu wenye roho za kikatili kuliko kawaida. Hilo linachangiwa kwa kiasi kikubwa na vyombo vya usalama kufumba macho.
 
Asante mkuu kwa andiko lako lakini kwa mujibu wa chama tawala CCM mafanikio yafuatayo yamepatikana baada ya Lissu kupigwa risasi na kuvuliwa ubunge:-
1.Hakuna anayekosoa tena serikali kwa sasa wote tunaimba nyimbo za sifa.
2.Jimbo la Singida Mashariki limepata maendeleo ya kutisha ambayo hayajawahi kushuhudiwa miaka 58 baada ya Uhuru.
3.Mabeberu wameufyata na sasa wanatunyenyekea kwa kila jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh hahaa
Asante mkuu kwa andiko lako lakini kwa mujibu wa chama tawala CCM mafanikio yafuatayo yamepatikana baada ya Lissu kupigwa risasi na kuvuliwa ubunge:-
1.Hakuna anayekosoa tena serikali kwa sasa wote tunaimba nyimbo za sifa.
2.Jimbo la Singida Mashariki limepata maendeleo ya kutisha ambayo hayajawahi kushuhudiwa miaka 58 baada ya Uhuru.
3.Mabeberu wameufyata na sasa wanatunyenyekea kwa kila jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi jamani hata aibu watu hawaoni? Mbunge anapigwa risasi hadharani tena mchana kweupe na hakuna chochote kinachofanyika kutoka serikalini zaidi ya kuendelea kumuumiza!

Tunaenda kwenye ibada kufanya nini! Tena mbaya zaidi na baadhi ya viongozi wa dini wanafumbia macho ukiukwaji huu mkubwa wa haki ya mtu ya kuishi! Hapana labda kuna watu ambao hawajaumbwa kwa nyama na damu! Labda wapo wenye miili iliyoundwa kwa chuma!

Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi hadharani na mwisho kuvuliwa ubunge limefehdehesha taifa na kuonekana kuwa sisi ni binadamu wenye roho za kikatili kuliko kawaida. Hilo linachangiwa kwa kiasi kikubwa na vyombo vya usalama kufumba macho.
Tukio hili limetchafua sana kimataifa,tatizo Meko anamsikiliza ZERO BRAIN aka BASHITE....Haya Bashite kashameza NDOANO ,On to the Next One --KICHWA SAMAKI.
 
If u knew wer this dunia came from,the foundation laid hata na hzo nchi kubwa kama china na US had zmefikia hzo level mnataman sidhan kama ungeona hilo jambo ni geni saaana..

Wasaliti wa nchi mnaoowaona wanayoyafanya sasa hiv hapa Tz sjawai yaskia kokote ulimwengun hata hapa hapa africa...sjawai...labda snowden na yule jamaa wa weakleaks
 
2108469_IMG_20190708_112420_395.jpg
 
Hivi jamani hata aibu watu hawaoni? Mbunge anapigwa risasi hadharani tena mchana kweupe na hakuna chochote kinachofanyika kutoka serikalini zaidi ya kuendelea kumuumiza!

Tunaenda kwenye ibada kufanya nini! Tena mbaya zaidi na baadhi ya viongozi wa dini wanafumbia macho ukiukwaji huu mkubwa wa haki ya mtu ya kuishi! Hapana labda kuna watu ambao hawajaumbwa kwa nyama na damu! Labda wapo wenye miili iliyoundwa kwa chuma!

Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi hadharani na mwisho kuvuliwa ubunge limefehdehesha taifa na kuonekana kuwa sisi ni binadamu wenye roho za kikatili kuliko kawaida. Hilo linachangiwa kwa kiasi kikubwa na vyombo vya usalama kufumba macho.
Vyombo vya usalama havijafumba macho,viliona na vinajua ila nacho fikiri vimezibwa macho na midomo viosone na kusema.
 
I like this
Asante mkuu kwa andiko lako lakini kwa mujibu wa chama tawala CCM mafanikio yafuatayo yamepatikana baada ya Lissu kupigwa risasi na kuvuliwa ubunge:-
1.Hakuna anayekosoa tena serikali kwa sasa wote tunaimba nyimbo za sifa.
2.Jimbo la Singida Mashariki limepata maendeleo ya kutisha ambayo hayajawahi kushuhudiwa miaka 58 baada ya Uhuru.
3.Mabeberu wameufyata na sasa wanatunyenyekea kwa kila jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini pia kwa namna nyigine ni Mipango ya Mungu ili kuweza kuitangazia Dunia kiwa yy ni Kiongozi wa namna gani. Dunia yote imeshamtambua kuwa tuna Kiongozi Mkuu asiyejali Utu na Uhai wa Raia wake.
Kama aliweza kumtendea vile Ndugu yake ni vipi kwa Majirani??

Majibu umeyapata kwenye uwekezaji nchini. Nakuhakikishia hapo alipo hapati usingizi kwa haya yanayoendelea hivi sasa.
Hebu fikiria Bunge linaacha kujadili mipango ya maendeleo ya wananchi wanamjadili Mbunge mwenzao anaepambania haki ya raia wote wakiwemo Wabunge. Yote hayo ni Hofu iliyotamalaki juu ya Watawala.

Damu ya Mh Lissu bado imetapakaa kwenye viwanja vya Bunge na kwamwe Wahusika hawatapata amani ktk maisha yao. Hata hii Tengua Teua ni Hofu itokanayo na Damu isiyo na hatia ya Ndugu yetu Mh Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa imeeabza hivi
Ni kwamba Lissu atakua na nguvu na kuhakikishiwa usalama wake
Tunaelekea uchaguzi,mwelekeo wa siasa ni wa hovyo mpk hawa jamaa kupata pa kuanzia
Wananchi hawana hamu na utawala,mtawala hana uwezo wa kuonyesha umahiri wa utawala zaidi ya unyang'anyi wa haki za vyama vya siasa

Lissu kitambo yuko nje na yupo kimya
Hatujui kimefanyika nn?
Alikua mzalendo na mwenye muelekeo bora ila tumeaminishwa kisiasa ni wakala wa mabeberu
Aliwashinda watawala kwa hoja
Kilichomkuta ni simanzi

Tunatengeneza picha mbaya kwa mambo mengi
Mkopo umegoma,tunaaminishwa Zitto ni msaliti
Serikali tajiri bhana

Tahadhari
Uchaguzi wa haki,kwa hali ilivyo tunatoa adui wa ndani,tunaingiza adui wa nje
Sababu system imefeli

Tuna mapungufu makubwa kwenye Usalama wa taifa na taasisi zote za ulinzi
Wananyenyekea vibarua vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangekuwa na hofu ya Mungu,wangejifunza kwenye Neno la Mungu(Biblia)hakuna kiongozi aliye watesa raia wake akabaki salama..
 
Njama mpange kwenye sacos yenu lawama mmpatie JPM hakuna huruma hapo, mtakufa siku sio zenu na chuki zenu.
 
Lakini pia kwa namna nyigine ni Mipango ya Mungu ili kuweza kuitangazia Dunia kiwa yy ni Kiongozi wa namna gani. Dunia yote imeshamtambua kuwa tuna Kiongozi Mkuu asiyejali Utu na Uhai wa Raia wake.
Kama aliweza kumtendea vile Ndugu yake ni vipi kwa Majirani??

Majibu umeyapata kwenye uwekezaji nchini. Nakuhakikishia hapo alipo hapati usingizi kwa haya yanayoendelea hivi sasa.
Hebu fikiria Bunge linaacha kujadili mipango ya maendeleo ya wananchi wanamjadili Mbunge mwenzao anaepambania haki ya raia wote wakiwemo Wabunge. Yote hayo ni Hofu iliyotamalaki juu ya Watawala.

Damu ya Mh Lissu bado imetapakaa kwenye viwanja vya Bunge na kwamwe Wahusika hawatapata amani ktk maisha yao. Hata hii Tengua Teua ni Hofu itokanayo na Damu isiyo na hatia ya Ndugu yetu Mh Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo amekuwa ndugu yenu? Damu gani ilimwagika Bungeni? Hofu mnayo nyinyi ambao mnaongoza propaganda, siku yenu ipo malipo ni hapa hapa duniani.
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom