Ni aibu sana, Hivi kwanini wasitoe elimu watu wachangie jamani.
View attachment 942610View attachment 942611View attachment 942612View attachment 942613View attachment 942616
Mkuu nimetoka moshi juzi..... Huwezi fananisha moshi na upuuziAlafu kuna watu wanalinganisha Kilanjaro na BK kimaendeleo,huku kwetu hata banda LA ngombe ni block
Ni aibu sana, Hivi kwanini wasitoe elimu watu wachangie jamani.
Pia unazani ulikuwa na sababu gani kutoa ada?japo serikali inazingua ila na wananchi wanazingua, wameshindwa jitolea nguvu kazi wakafyatua tofari na kupandisha boma waiombe serikali kuapua, na kumalizia.
wananchi na serikali wote wanazingua sana
Si kila kitu mpaka Mh Raisi atoe maelekezo; kamati ya Bunge ya huduma za jamii na Mbunge wa eneo husika wako wapi? Naamini kijini kina uwezo wa kuandaa tofali za kuchoma, kutoa vibarua wa kujenga, Mbunge / Halmashauri watoe malighafi nyingine kama mbao, misumari na bati.Ni aibu sana, Hivi kwanini wasitoe elimu watu wachangie jamani.
View attachment 942610View attachment 942611View attachment 942612View attachment 942613View attachment 942616