Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
Kwa Masikitiko Makubwa Kabisa!
Japo Waziri wa Mambo ya Ndani aliamua kujitoa akili na kuonesha Immaturity mbele ya kadamnasi kwa kuongea vitu ambavyo kimsingi alikuwa akijielewa mwenyewe.
Hata hivyo, halikumzuia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Rais Magufuli kuzungumza madudu ya Wizara ya Kangi.
Sitting Allowance dola 800, plus perdiem, en plus tiketi za ndege pamoja na refreshment;
Sambamba na hilo kilichosainiwa kwenye Mkataba wa Maridhiano (MoU) ni kuwa hata mkataba ukivunjwa lakini huduma ambazo zimeshaanza kutolewa basi zitaendelea kutolewa kwa kipindi chote.
Aidha, Thamani ya Mkataba ni zaidi ya 1T.
Je huyu Waziri, Naibu Waziri, Katibu, Kamishna wa Zima Moto pamoja na Maafisa wa Mwanasheria Mkuu ambapo Mikataba yote yenye thamani kubwa inayohusu Manunuzi ya Umma lazima ipite kwa Mwanasheria Mkuu kwa ajili ya kuhakikiwa terms and conditions ndio isainiwe , je wanapaswa kweli kuendelea kuwa Uraiani?
Nilitegemea kuona Gari la Magereza likimbeba pale pale bwana Kangi pamoja na timu yake kuwapeleka mahabusu.
Ukweli , Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mapinduzi Taifa hii tumbua tumbua bila ya hatma ya kisheria juu ya hawa watu kujulikana inakuwa haisaidii. Na ndio maana haya matukio hayaishi. Kwa sababu hakuna liquidated damage upon specific breach pindi wakifanya madudu.
Wizara imekiuka Public Procurement Act ya Mwaka 2011 reads together with its Regulation ya Mwaka 2013 , following its amendment ya Mwaka 2016 !
Hivyo, ana sababu zote kuwa punished kisheria yeye na timu yake wakalale mahabusu; tofauti na hapo hakuna haja ya tumbua tumbua.
Tunataka kuona hawa watu wakichukuliwa hatua za kisheria kama ifuatavyo;
1. Kwenda Mahabusu
2. Kuchukuliwa Hati ya kusafiria
3. Freeze Akaunti zao zote
4. Filisi mali zao zote
5. Wanyongwe kama wafanyavyo China.
Sitting Allowance dola 800: Halafu still tunasikia hali mtaani ni ngumu, watu hawana hela, kumbe fedha zipo kwa wachache.
Hili pia ni lako ewe Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa kujitafakari kuwa ni kweli Ufisadi kwenye Taasisi za Umma umekwisha au unafanyika lakini ni kwa kificho?
Mwisho, zifuatazo ni taasisi ambazo unatakiwa kuwaambia vijana wako wazitembelee hizi taasisi kwa uchunguzi zaidi;
1. PPP project ya Mwendokasi
2. NSSF na nyumba za Kijichi, tunajua Serikali ilikuwa na Hisa ndogo katika mradi huu, lakini cha kushangaza Serikali ndio iliyotoa Bilions of money kuliko kampuni Binafsi
3. Bohari Kuu ya Dawa chini ya Wizara ya Afya- Tulisoma Ripoti ya CAG inayoeleza upotevu mkubwa wa pesa za Dawa za wànanchi pasipokuwa na nyaraka yakinifu.Hapa rushwa ipo mno
4. NIDA ikiwa ni pamoja na Utendaji wao
5. TTCL hawa hasa kwenye huduma zao na kuna viashiria vya Rushwa vingi sana
6. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
7. Bodi ya Mikopo
Asante!
Japo Waziri wa Mambo ya Ndani aliamua kujitoa akili na kuonesha Immaturity mbele ya kadamnasi kwa kuongea vitu ambavyo kimsingi alikuwa akijielewa mwenyewe.
Hata hivyo, halikumzuia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Rais Magufuli kuzungumza madudu ya Wizara ya Kangi.
Sitting Allowance dola 800, plus perdiem, en plus tiketi za ndege pamoja na refreshment;
Sambamba na hilo kilichosainiwa kwenye Mkataba wa Maridhiano (MoU) ni kuwa hata mkataba ukivunjwa lakini huduma ambazo zimeshaanza kutolewa basi zitaendelea kutolewa kwa kipindi chote.
Aidha, Thamani ya Mkataba ni zaidi ya 1T.
Je huyu Waziri, Naibu Waziri, Katibu, Kamishna wa Zima Moto pamoja na Maafisa wa Mwanasheria Mkuu ambapo Mikataba yote yenye thamani kubwa inayohusu Manunuzi ya Umma lazima ipite kwa Mwanasheria Mkuu kwa ajili ya kuhakikiwa terms and conditions ndio isainiwe , je wanapaswa kweli kuendelea kuwa Uraiani?
Nilitegemea kuona Gari la Magereza likimbeba pale pale bwana Kangi pamoja na timu yake kuwapeleka mahabusu.
Ukweli , Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mapinduzi Taifa hii tumbua tumbua bila ya hatma ya kisheria juu ya hawa watu kujulikana inakuwa haisaidii. Na ndio maana haya matukio hayaishi. Kwa sababu hakuna liquidated damage upon specific breach pindi wakifanya madudu.
Wizara imekiuka Public Procurement Act ya Mwaka 2011 reads together with its Regulation ya Mwaka 2013 , following its amendment ya Mwaka 2016 !
Hivyo, ana sababu zote kuwa punished kisheria yeye na timu yake wakalale mahabusu; tofauti na hapo hakuna haja ya tumbua tumbua.
Tunataka kuona hawa watu wakichukuliwa hatua za kisheria kama ifuatavyo;
1. Kwenda Mahabusu
2. Kuchukuliwa Hati ya kusafiria
3. Freeze Akaunti zao zote
4. Filisi mali zao zote
5. Wanyongwe kama wafanyavyo China.
Sitting Allowance dola 800: Halafu still tunasikia hali mtaani ni ngumu, watu hawana hela, kumbe fedha zipo kwa wachache.
Hili pia ni lako ewe Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa kujitafakari kuwa ni kweli Ufisadi kwenye Taasisi za Umma umekwisha au unafanyika lakini ni kwa kificho?
Mwisho, zifuatazo ni taasisi ambazo unatakiwa kuwaambia vijana wako wazitembelee hizi taasisi kwa uchunguzi zaidi;
1. PPP project ya Mwendokasi
2. NSSF na nyumba za Kijichi, tunajua Serikali ilikuwa na Hisa ndogo katika mradi huu, lakini cha kushangaza Serikali ndio iliyotoa Bilions of money kuliko kampuni Binafsi
3. Bohari Kuu ya Dawa chini ya Wizara ya Afya- Tulisoma Ripoti ya CAG inayoeleza upotevu mkubwa wa pesa za Dawa za wànanchi pasipokuwa na nyaraka yakinifu.Hapa rushwa ipo mno
4. NIDA ikiwa ni pamoja na Utendaji wao
5. TTCL hawa hasa kwenye huduma zao na kuna viashiria vya Rushwa vingi sana
6. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
7. Bodi ya Mikopo
Asante!