Rais Magufuli hayupo serious katika mapambano ya madawa ya kulevya

Mwananchi hewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2016
226
273
Kusema kweli Rais Magufuli hayupo serious katika mapambano ya madawa ya kulevya mana kaingia kila sehemu kupambana na uovu ila hakuna chochote alichofanya katika mapambano ya madawa ya kulevya.

Sa sijui ana nini mpaka haingii katika mapambano. Mana watu wengi wanatajwa na japo si kama wote lakini wangekuwepo wengine wapo wanafanya hizo biashara na mbona watumiaji wanajulikana kwanini wasiende kuwauliza.
 
..mfano wewe ungekua Rais,tuambie ungekuwa serious vipi kupambana na madawa ya kulevya??
 
Vyombo vya ulinzi na usalama ni tatizo kubwa sana, kesi ya Maxence Melo kuna mapimbi walishupaliaaaa eti kakataa kusaidia jeshi la polisi,

Kwa nn wasiwatumie hawa waathirika/watumiaji ili wawataje wauzaji wao,

Eg: ray-c angewekwa kizuizin aseme ngada anatoa wapi(kwa pusha gan) then pusha atiwe nguvuni aseme anauziwa na nani. Mwisho wa siku chain nzima ingejulikana.

Wasi wasi wangu mimi hili suala lina mkono wa wakubwa.

Suala la watu kukamatwa na mzigo wa mabilion alaf kesho wanapewa dhamana na kutokomea kusikojulikana ni upumbavu wa kiwango cha lami.
 
Magufuli akomae na mafisadi kwani waathirika wa ufisadi ni wengi kuliko waathirika wa ngada.
 
Vyombo vya ulinzi na usalama ni tatizo kubwa sana, kesi ya Maxence Melo kuna mapimbi walishupaliaaaa eti kakataa kusaidia jeshi la polisi,

Kwa nn wasiwatumie hawa waathirika/watumiaji ili wawataje wauzaji wao,

Eg: ray-c angewekwa kizuizin aseme ngada anatoa wapi(kwa pusha gan) then pusha atiwe nguvuni aseme anauziwa na nani. Mwisho wa siku chain nzima ingejulikana.

Wasi wasi wangu mimi hili suala lina mkono wa wakubwa.

Suala la watu kukamatwa na mzigo wa mabilion alaf kesho wanapewa dhamana na kutokomea kusikojulikana ni upumbavu wa kiwango cha lami.
Eti Ray C abanwe ili amtaje anayemuuzia halafu huyo anayemuuzia Ray C nae abanwe anayapata wapi hadi chain yote ifahamike..... hahahaha daaah
Yaan huyo mkuu ambaye anatakiwa awatume watu wakambane Ray C ndiye huyo anayeziingiza hahahaha
mkuu hiyo kitu haiwezekan
 
Eti Ray C abanwe ili amtaje anayemuuzia halafu huyo anayemuuzia Ray C nae abanwe anayapata wapi hadi chain yote ifahamike..... hahahaha daaah
Yaan huyo mkuu ambaye anatakiwa awatume watu wakambane Ray C ndiye huyo anayeziingiza hahahaha
mkuu hiyo kitu haiwezekan
Kweli kabisa na ndio maana hii insue hata mzee mwenyewe kawa kimya kabisa anapiga kelele et mafisadi na wapiga dili
 
Eti Ray C abanwe ili amtaje anayemuuzia halafu huyo anayemuuzia Ray C nae abanwe anayapata wapi hadi chain yote ifahamike..... hahahaha daaah
Yaan huyo mkuu ambaye anatakiwa awatume watu wakambane Ray C ndiye huyo anayeziingiza hahahaha
mkuu hiyo kitu haiwezekan
Ndio mana pale chini nikasema kuwa hili suala kwa kias kikubwa kuna wakuu wanahusika, ndio mana haya mambo yanachukuliwa poa tu
 
Tatizo la Madawa ni mtambuka ni swala linaloitaji roho mbaya , kujitoa ,ujasiri na uzalendo kwani ni biashara ya madawa ni kama biashara ya ujangili kwani watu wanaodeal nayo ni mijitu yenye fedha na nimimafia leo tukimlaumu JPM tunatakiwa kwanza tujiulize hayo madawa yanapitia ikulu ndo yanaingia mtaani? yanapopitia panajulikana je huko si kuna watu wanalipwa mshahara kufanya kazi ya kuyazuia je kikosi kwa kuzuia madawa na kiongozi wao wanafanya kazi gani? au wanalipwa mshahara wa nini kama wamepewa kazi ya kuzuia lakini wameshindwa sasa JPM ndo aende kuzuia airport ?

Pia tunatakiwa kujua biashara hii inawatu wa aina gani leo hata kwenye nchi zilizoendelea wanapambana na biashara hii US kuna jeshi kabisa si kikosi bali ni jeshi kabisa na lina vifaa vya kisasa mpaka magari ya delaya
Drug Enforcement Agency (DEA) lakini kila mwaka inakadiliwa Tani 5 zinapita mpaka wa Mexico na kuingia marekani na US inakadiliwa matumizi ya madawa ni makubwa sana na ndo soko kubwa la nchi za America ya kusini na ndo soko la unga first class

Hapa kama JPM akitaka kwanza ni swala la haki za binadamu ziwekwe pembeni afanye kama Rais wa Philippines Mr Rodrigo R. Duterte lakini mijitu hii ukiipeleka mahakamani yanafedha yanaweza kutoa hata fine ya million 200 na hata kama yakifungwa yanakwnda kuishi kifahari jela lakini JPM akifanya hvyo nyinyi mtakuja na thread hapa hapa oooh afati haki za binadamu ooooooh ana roho mbaya
 
Nani aliyewahi kua serious zaidi yake?Manake km angekua amewahi kuwepo tusingefikia hapa tulipo, kwani swala la madawa ya kulevya limeanza kipindi hiki cha JPM?
 
Tatizo la Madawa ni mtambuka ni swala linaloitaji roho mbaya , kujitoa ,ujasiri na uzalendo kwani ni biashara ya madawa ni kama biashara ya ujangili kwani watu wanaodeal nayo ni mijitu yenye fedha na nimimafia leo tukimlaumu JPM tunatakiwa kwanza tujiulize hayo madawa yanapitia ikulu ndo yanaingia mtaani? yanapopitia panajulikana je huko si kuna watu wanalipwa mshahara kufanya kazi ya kuyazuia je kikosi kwa kuzuia madawa na kiongozi wao wanafanya kazi gani? au wanalipwa mshahara wa nini kama wamepewa kazi ya kuzuia lakini wameshindwa sasa JPM ndo aende kuzuia airport ?

Pia tunatakiwa kujua biashara hii inawatu wa aina gani leo hata kwenye nchi zilizoendelea wanapambana na biashara hii US kuna jeshi kabisa si kikosi bali ni jeshi kabisa na lina vifaa vya kisasa mpaka magari ya delaya
Drug Enforcement Agency (DEA) lakini kila mwaka inakadiliwa Tani 5 zinapita mpaka wa Mexico na kuingia marekani na US inakadiliwa matumizi ya madawa ni makubwa sana na ndo soko kubwa la nchi za America ya kusini na ndo soko la unga first class

Hapa kama JPM akitaka kwanza ni swala la haki za binadamu ziwekwe pembeni afanye kama Rais wa Philippines Mr Rodrigo R. Duterte lakini mijitu hii ukiipeleka mahakamani yanafedha yanaweza kutoa hata fine ya million 200 na hata kama yakifungwa yanakwnda kuishi kifahari jela lakini JPM akifanya hvyo nyinyi mtakuja na thread hapa hapa oooh afati haki za binadamu ooooooh ana roho mbaya
Kwani tunaposema anapambana na ufisadi ndio kusema huo ufisad unapitia au unafanyika ikulu pekee?
 
Kusema kweli magufuli hayupo serious katika mapambano ya madawa ya kulevya mana kaingia kila sehemu kupambana na uovu ila hakuna chochote alichofanya katika mapambano ya madawa ya kulevya .
Sa sijui ana nini mpaka haingii katika mapambano.
Mana watu wengi wanatajwa na japo si kama wote lakini wangekuwepo wengine wapo wanafanya hizo biashara na mbona watumiaji wanajulikana kwanini wasiende kuwauliza.
Kwani yeye ni waziri wa mambo ya ndani?
 
Back
Top Bottom