Mh Rais tunakuomba sisi watumishi wa umma ambao hatukupandishwa madaraja sababu tulienda masomoni kwa kweli hamkutendea haki.
Mh Rais kwenda masomoni ni kuongeza ufanisi kazini na kuinua utendaji kazi si dhambi.
Masomoni hatukwenda kuzurura bali kuongeza ujuzi maarifa ili kuifanyia kazi serikali ili kuliletea maendeleo Taifa letu na pia kuwahudumia wananchi wa Tanzania.
Asilimia kubwa wa watumishi tulioenda masomoni hatukugharamikiwa na Halmashauri wala serikali kuu bali sisi wenyewe na unavyojua mishahara yetu ndo tulikopa ili kulipa ada,hostel, stationary na chakula.
Hivyo tulikopa ili kugharamikia masomo ya chuo hivyo baada ya kutoka chuo Taasisi za kifedha wanaendelea kutukata fedha zao
Mh Rais ukumbuke sisi tunaojiendeleza tunatokea familia masikini ndo maana hatukwenda masomo juu moja kwa moja kipindi tukiwa wanafunzi wa Olevel na Advance kwa sababu wazazi wetu au walezi wetu hawakuwa na uwezo badala yake wakatutaka twende chuo badala ya masomo ya juu maana hawakuwa na uwezo.
Mh Rais watumishi wengi wa umma tunatokea kwenye familia tegemezi ,kutopandishwa madaraja inatuumiza mnooo.
Mh Rais kutopandishwa madaraja ,sawa tunaenda kazini lakini tuna kinyongo,ghadhabu,yaani ile ari ya kufanya kazi hatuna.
Tunakuomba mh Rais swala hili mliangalie upya,tunaumia si mchezo.
Mh Rais kwenda masomoni ni kuongeza ufanisi kazini na kuinua utendaji kazi si dhambi.
Masomoni hatukwenda kuzurura bali kuongeza ujuzi maarifa ili kuifanyia kazi serikali ili kuliletea maendeleo Taifa letu na pia kuwahudumia wananchi wa Tanzania.
Asilimia kubwa wa watumishi tulioenda masomoni hatukugharamikiwa na Halmashauri wala serikali kuu bali sisi wenyewe na unavyojua mishahara yetu ndo tulikopa ili kulipa ada,hostel, stationary na chakula.
Hivyo tulikopa ili kugharamikia masomo ya chuo hivyo baada ya kutoka chuo Taasisi za kifedha wanaendelea kutukata fedha zao
Mh Rais ukumbuke sisi tunaojiendeleza tunatokea familia masikini ndo maana hatukwenda masomo juu moja kwa moja kipindi tukiwa wanafunzi wa Olevel na Advance kwa sababu wazazi wetu au walezi wetu hawakuwa na uwezo badala yake wakatutaka twende chuo badala ya masomo ya juu maana hawakuwa na uwezo.
Mh Rais watumishi wengi wa umma tunatokea kwenye familia tegemezi ,kutopandishwa madaraja inatuumiza mnooo.
Mh Rais kutopandishwa madaraja ,sawa tunaenda kazini lakini tuna kinyongo,ghadhabu,yaani ile ari ya kufanya kazi hatuna.
Tunakuomba mh Rais swala hili mliangalie upya,tunaumia si mchezo.