Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Hakuna ubishi kweli unafanya kazi nzuri, kujenga miundo mbinu, zahanati, vituo vya afya na hospitali. Hakuna ubishi umeinyoosha nchi iliyokuwa imepinda.
Ila hali yetu wananchi ni mbaya sana. Tunaamka asubuhi hatujui kama tutakula au vipi. Tukifungua biashara zinakufa, kila tunachojaribu hakiendi.
Hivyo wewe kama mkuu angalia namna ambavyo utalegeza ili mzunguko wa pesa uongezeke mitaani. Sio kwamba hatutaki kazi bali mzunguko wa pesa ni hakuna kabisa.
Ila hali yetu wananchi ni mbaya sana. Tunaamka asubuhi hatujui kama tutakula au vipi. Tukifungua biashara zinakufa, kila tunachojaribu hakiendi.
Hivyo wewe kama mkuu angalia namna ambavyo utalegeza ili mzunguko wa pesa uongezeke mitaani. Sio kwamba hatutaki kazi bali mzunguko wa pesa ni hakuna kabisa.