Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Nimeogopa hapa nimemwona mkuu wa majeshi akiweka mikono usoni.Kagusa pua mdomo. Halafu li Kabudi linajisifu kutokuvaa Barakoa. Kumbe hawavai Barakoa kisa Boss wao kasema ?I thought ni kutoka mioyoni mwao.
Nikikueleza si unabisha? Hayo ni maagizo wote wamepewa ili kuhalalisha usanii wao
 
CCM ya leo ni kutengua na kuteua...

Wananchi wameshakoka kabisa na hii habari!!
 
There you have it Victoire PROTECT yourself.

Nimeogopa hapa nimemwona mkuu wa majeshi akiweka mikono usoni.Kagusa pua mdomo. Halafu li Kabudi linajisifu kutokuvaa Barakoa. Kumbe hawavai Barakoa kisa Boss wao kasema ?I thought ni kutoka mioyoni mwao.
 
Ngoja tuone mtu anavyochambwa.
tapatalk_1589436358948.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom