Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,343
- 6,403
Sidhani kama anaijua RADHA YA CONDOM huyu mtu!Magufuli pindi yuko njaini kuja Dodoma akiwa mkoani Singida alisema anafurahi haoni waliovaa barakoa, na kisema hata yeye havai na mkuu wa mkoa na walio katika msafara hawavai ni kuonyesha hatuogopi corona.
Leo tena dodoma naona ana discourage uvaaji wa barakoa kama njia ya kujikinga na maambukizi ya corona.
Naomba kufahamu anaoosema watu wachukue tahadhari ni tahadhari ipi ya kujikinga na corona ambayo magufuli anahamasisha raia wa nchi hii?